KIKUNGU
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 845
- 585
Natumaini weekend ilikuwa nzuri kwa wengi wetu.
Naomba tu-share uzoefu katika hili jamani kwani nafikiri inawezekana tunayaona haya mambo kwa ndugu,jamaa,rafiki au sisi wenyewe tunayafanya.
Unakuwa kwenye uhusiano,ndoa au normal relationship na partner/mkeo/mumeo anacheat au ni serial cheater na mtu/watu anaocheat nao wanajulikana kwa rafiki/ndugu/wafanyakazi/jamii unayoishi karibu yao.Au watu wanakuwa na uhusiano huko nje mpaka wanazaa(Wanaume)bila wewe kujua.
Katika mazingira kama haya je tunatendea haki kama jamii?Katika situation kama hizi je tubaki kimya tu tusubiri mhusika ajue mwenyewe?Kama ni wewe ungependa watu waje wakuambie kuhusu hili au waache mpaka situation itakapo jileta yenyewe?Na utajisikiaje wewe kuwa mtu wa mwisho kujua infidelity ya partner wako?
Naomba tuchangie na tupeane uzoefu kwani nina uhakika haya mambo yapo sana kwenye maisha yetu ya kila siku na ni sisi tunayoyafanya.
Naomba tu-share uzoefu katika hili jamani kwani nafikiri inawezekana tunayaona haya mambo kwa ndugu,jamaa,rafiki au sisi wenyewe tunayafanya.
Unakuwa kwenye uhusiano,ndoa au normal relationship na partner/mkeo/mumeo anacheat au ni serial cheater na mtu/watu anaocheat nao wanajulikana kwa rafiki/ndugu/wafanyakazi/jamii unayoishi karibu yao.Au watu wanakuwa na uhusiano huko nje mpaka wanazaa(Wanaume)bila wewe kujua.
Katika mazingira kama haya je tunatendea haki kama jamii?Katika situation kama hizi je tubaki kimya tu tusubiri mhusika ajue mwenyewe?Kama ni wewe ungependa watu waje wakuambie kuhusu hili au waache mpaka situation itakapo jileta yenyewe?Na utajisikiaje wewe kuwa mtu wa mwisho kujua infidelity ya partner wako?
Naomba tuchangie na tupeane uzoefu kwani nina uhakika haya mambo yapo sana kwenye maisha yetu ya kila siku na ni sisi tunayoyafanya.