Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,763
- 764
Wana JF napenda kuwashirikisha furaha yangu.
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa. Hakika namshukuru Manani kunijaalia kufika siku hii muhimu katika maisha yangu nikiwa ni mzima wa afya tele. Yote haya si kwa ujanja wangu bali ni uweza wake yeye Allah na akiwa na sababu maalum kwani kuwa kwetu hai ni zawadi kubwa. Naendelea kukuomba ewe Muumba unizidishie umri zaidi niweze kukamilisha ninayotaraji.
Aamen!
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa. Hakika namshukuru Manani kunijaalia kufika siku hii muhimu katika maisha yangu nikiwa ni mzima wa afya tele. Yote haya si kwa ujanja wangu bali ni uweza wake yeye Allah na akiwa na sababu maalum kwani kuwa kwetu hai ni zawadi kubwa. Naendelea kukuomba ewe Muumba unizidishie umri zaidi niweze kukamilisha ninayotaraji.
Aamen!