Onyo:Uwekaji wa laptop mapajani una athari kwa kina baba na kina mama wajawazito.

queenkami

JF-Expert Member
Feb 8, 2010
1,599
1,025
Kwa kina baba -
mionzi kutoka kwenye laptop husababisha askari ajiuzulu wakati bado anahitajika kwenye battle field.
Pia hata kama ataendelea kupambana kwa kujilazimisha bullets zake zitakua dhaifu kiasi kwamba hata zikimlenga mama...mama huyo hataweza kuugua kwa miezi tisa.

Kwa kina mama wajawazito -
mionzi kutoka kwenye laptop ina madhara kwa malaika aliyeko tumboni.

---Ewe baba..ewe mama mjamzito uonapo tangazo hilí mtahadharishe na mwenzako---

Mbarikiwe
 
Wewe naye kwa kutoa siri...Kuna mwana JF hapa jirani yangu ana demu mzuri kweli halafu ana tabia hiyo ya kuweka laptop mapajani.....nilikuwa nasubiri achoke nibebe mzigo.
 
thanx kwa information dia,that is so kind of you

You are welcome mkuu kijembee.

inawzekana. kwa sababu mi mwenyewe naona kasi imeanza kupungua. mia
mama wee acha mara moja figganigga

OMG..!!!
Ngoja niache huu mchezo.
fanya maamuzi sahihi before its too late dear kaeso

alafu haka ka-tabia ninakapenda sana sijui kwa nini!

Sio wewe tu wengi tunapenda kufanya hivyo ila ndo hivyo tena kuna madhara Mr. @Ruhazwe
Wewe naye kwa kutoa siri...Kuna mwana JF hapa jirani yangu ana demu mzuri kweli halafu ana tabia hiyo ya kuweka laptop mapajani.....nilikuwa nasubiri achoke nibebe mzigo.

Usitamani mke wa jirani yako
unaweza kumpata na bonus ya HIV juu.
tafuta wako..warembo wapo wa kila aina
usisubiri wenzio walete wewe ndio uvizie.
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa tahadhari queenkami.......................!nimependa lugha ya mafumbo uliyotumia hapo kwa kina baba................!
Unaonekana una hekima sana..................!natamani kukuoa queenkami.............nikufanye malkia wangu.....hutojuta ukinipa nafsi hiyo...........mimi sio muharifu kama vijana wengi walivyo..............trust me mrembo................!
 
Basi mamaa[/QUOTE
???????????????

Yamekwisha babaa platozoom.
mmmhhh

Asante kwa tahadhari queenkami.......................!nimependa lugha ya mafumbo uliyotumia hapo kwa kina baba................!
Unaonekana una hekima sana..................!natamani kukuoa queenkami.............nikufanye malkia wangu.....hutojuta ukinipa nafsi hiyo...........mimi sio muharifu kama vijana wengi walivyo..............trust me mrembo................!

taratibu father,unajuaje yuko single au hajaolewa?
For your information Nkami is not single.
 
Hii mimi siiamini queenkami kwanza tuambie huu ni utafiti au ni mawazo binafsi. Kama ni utafiti tueleze umefanywa wapi na nani na utupe njia waliyotumia kubainisha ni mionzi ya laptop na sio sababu nyingine kama kemikali ya vyakula tunavyokula. Bila kushawishiwa sintaamini na ntaendelea na haka katabia kwani kanarahisisha utendaji wa kazi mahali popote
 
Hii mimi siiamini queenkami kwanza tuambie huu ni utafiti au ni mawazo binafsi. Kama ni utafiti tueleze umefanywa wapi na nani na utupe njia waliyotumia kubainisha ni mionzi ya laptop na sio sababu nyingine kama kemikali ya vyakula tunavyokula. Bila kushawishiwa sintaamini na ntaendelea na haka katabia kwani kanarahisisha utendaji wa kazi mahali popote

men who use laptops excessively they started to loose their fertility. The
general habit of the men is to keep or place the laptop on their lap. An
d due to this some amount of heat that is generating from the laptops are effecting in the lower portion ofmen.

The heat of the laptop is taking on by the scrotum. And the
y start to loose their fertility. And this side effect is very much common among men. It has
been seen that this is the major cause for the lack of the infertility among men and it is increasing in an alarming rate.The laptops can increase the temperature of the scrotum for near about 2.7 C and this let to the decrease of the sperm count in the body and the result is infertility. There are may be other problems with their reproductive system and they will not able to realize the problem very soon. It will take long time and when he is in the mood to expand his generation he will become hard to the noble act.

Therefore the young men and boys must be aware about this fact. Do
not place the laptop on your lap anymore but you must place the laptop on some desk or table when you are doing the work.

wewe endelea kuwa Tomaso hadi utakapoona alama za misumari itakua too late.
 
Back
Top Bottom