Kwa kina baba -
mionzi kutoka kwenye laptop husababisha askari ajiuzulu wakati bado anahitajika kwenye battle field.
Pia hata kama ataendelea kupambana kwa kujilazimisha bullets zake zitakua dhaifu kiasi kwamba hata zikimlenga mama...mama huyo hataweza kuugua kwa miezi tisa.
Kwa kina mama wajawazito -
mionzi kutoka kwenye laptop ina madhara kwa malaika aliyeko tumboni.
---Ewe baba..ewe mama mjamzito uonapo tangazo hilí mtahadharishe na mwenzako---
Mbarikiwe
mionzi kutoka kwenye laptop husababisha askari ajiuzulu wakati bado anahitajika kwenye battle field.
Pia hata kama ataendelea kupambana kwa kujilazimisha bullets zake zitakua dhaifu kiasi kwamba hata zikimlenga mama...mama huyo hataweza kuugua kwa miezi tisa.
Kwa kina mama wajawazito -
mionzi kutoka kwenye laptop ina madhara kwa malaika aliyeko tumboni.
---Ewe baba..ewe mama mjamzito uonapo tangazo hilí mtahadharishe na mwenzako---
Mbarikiwe