BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
I do see nothing wrong with contact lenses. Hasa kwa sisi tunaovaa miwani 24/7 wakati mwingine mtu unachoka.
bado huo ni ujasiri dada, hata mie navaa mawani ila hizo lens mmh sithubutu. Nikiona wanavyovyaa mwili unanisisimka