Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Hahaha hahaha hahah,Suala la wewe kuachika (God forbid) halina ubishi. Sasa ni bora ukaacha wewe ili aibu isiwe kubwa...
Kuhusu kukutongoza hadharani wala usiwe na shaka, nikishakupa moyo wangu mapenzi yetu yatakuwa hadharani, thats why kumpindua Rejao kunahusika kipindi hiki, si unajua kama kula nanasi kwataka nafasi'
Rejao hapinduliki coz kwake nimekufa nimeoza,hata nimfumanie simwachi ng'ooo!
Labda ikitokea aniache yeye wala siogopi aibu lol!
Cheki na J'000 nadhan yuko single!