Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
jamaa mmoja muongo alikua kijiweni anawahadithia watu jinsi alivyokua akimkimbiza swala porini akaishia kwamba " nikamkamata nikamlaza chini" ghafla kabla hajaendelea simu yake ikaita akaenda pembeni kupokea, washikaji wakawa wanamsubiria kwa hamu ili arudi aendelee, alivyorudi akawauliza hivi niliishia wapi? wakamwambia " umemkamata ukamlaza chini" jamaa akasema enheee, basi nikaanza kumvua nguo taratiibu huku nikimkumbatia na kumla madenda, washkaji wakashtuka na kuguna mmmh!! aaaaah! si alikua swala? jamaa akshtuka akasema aaaahaaa, nimekumbuka nikaanza kumchinja! washkaji hoiiiiiiii: