Wewe nawe ni ajabu lingine la dunia, kuona hilo ndilo jambo baya zaidi kuliko wizi wa rasilimali zetu, udhaifu wa M.k.w.e.r.e na serikali yake, rushwa na ufisadi, kupanda kwa gharama za maisha, hali tete ya amani, viongozi kutokuwa na sera na mikakati maalumu ya kushughulikia matatizo yanayowakabili wanachi, ujangili, etc. Hivi chama cha upinzani kikiwa na sheha huko Zanzibar ndio ugumu wa maisha na matatizo ya wanachi wa Tz yataisha? Ninyi mlio na hao viongozi huko mbona ndio chanzo cha matatizo yote ya nchi hii? Sasa tofauti ya wale ambao hawana viongozi Zanzibar na ninyi mlio na hadi mashehe achilia mbali masheha, ni nini? Unazi mwingine bwana, wewe Zomba ni mojawapo wa maajabu ya dunia hii! Itabidi tukupigie kura! Shwaini!Kuwa na chama cha upinzani ambacho upande wa pili wa Muungano (Zanzibar) hakina hata sheha (mjumbe wa nyumba kumi), wala muwakilishi hata mmoja wala mbunge hata mmoja. Halafu kinaamini kabisa hicho ndio chama mbadala cha Watanzania...kwi kwi kwi teh teh teh!
naomba nikujibu namba 4, waliofeli ni wale ambao walipata mimba kwa viherehere vyao na hawajui hata shule ilipo kwahiyo siku ya mtihani hawakwenda kufanyaYapo Maajabu mengi sana...Ila Maajabu ya Wiki Hii Yaliyo Tanzania ni kama Ifuatavyo
1. Mmoja wa Majaji Walioteuliwa kwa Mujibu wa Tundu Lissu Kumbe ndo kwanza anasoma shahada so darasani nae anasoma"What is Law of Torts" then anapata SUP...U can Only find in TZ..
2. Serikali Makini ambayo sio dhaifu ina Watumishi Hewa 9,949 wanaopata Mshahara ambao Jumla ya hela inayopotea ni kama Bil 70 ambazo zingetumika kulipa Madaktari na walimu, lakini Serikali inasema haina hela, hawana hela ya kulipa walimu na Madaktari ila wanazo za Watumishi hewa...Only u can find in TZ.
3. Serikali Ya Uingereza Ilirudisha Chenji ya RADA, Serikali ikasema hela inapeleka Kununulia Vitabu kwa Ajili ya Shule Nchi nzima, Kumbe Kampuni iliyopewa tenda ya Kusambaza Vitabu nchi nzima ilitoa rushwa ya dola 500,000 kupata tender Serikali ya Uingereza imeifungia miaka 7, You Can Only find in TZ.
4. Wanafunzi Waliofaulu Darasa la Saba get me well waliofaulu darasa la 7 kwenda Sekondary Hawajui Kusoma wala Kuandika, Je waliofeli Watakuwa hawajui kufanya nini...You Can Only Find In Tanzania
5. Washiriki wa Michezo ya Kimataifa (sijataja Mchezo wala mashindano) wako watano (5) lakini wanaowasindikiza Washiriki wako 12 You can Only find in Tanzania......
6. Sehemu Pekee ambaye Mtu uliyetaka Kumdhuru kwa Kukusumbua then unaomba Umlinde (refer to Ulimboka's Case)..Yaani Mbwa Mwitu anaomba kazi ya Kulinda Mbuzi......You Can Only find in Tanzania..
Yapo Maajabu Mengi sana Lipi nimesahau???
yapo tanzania tu, hiyo point ya tano ukiwauliza wanajijitetea kati ya nchi 54 zilizoshiriki mashindano, only 10 ndo wamepata kitu wengine wote hatujaambulia kitu, hatuko peke yetu. Ha ha ha ha,....you can only find such answers in tz
ONLY IN TANZANIA....
Waziri Mkuu kila Alhamisi bungeni kwenye maswali ya papo kwa papo majibu yake huanzia na sentensi hizi:
Nadhani....
Nafikiri....
Tuliona tuliweke hivi...
Tumeliona hilo...
Sina hakika sana...
Tuliache kama lilivyo...
Hili jambo lipo mahakamani.....
Hapa ungemalizia hivi hao vilaza wengi wapo sehem nyeti za nchiNchi ambayo wenye akili ndogo ndio wanachuguliwa kuongoza nchi na wenye nyingi hawachaguliwi