Only in Tanzania !

Nchi pekee ambayo wabunge wanapitisha jambo kisha baadae kujishangaa walilipitishaje jambo hilo
 
ni nchi pekee wawakilishi waliotumwa na wananchi wanasusia vikao punde tu baada ya ku sign posho.. na wananchi wnashangilia
 
Nchi pekee ambayo raisi wake alihongwa suti pair tatu na rais wa marekani akatoa ardhi yenye rutuba mahekari kwa mahekari
 
ni nchi pekee ambayo raia wake wanasusia sensa kwa kuwa wameambiwa wapo wachache
 
Nchi pekee ambayo wabunge wa upinzani wanamuomba spika afunge mlango ili wabunge wachapane makonde na wale wa chama tawala.
 
Ni nchi pekee ambayo rais wake hafahamu kwa nini nchi yake ni maskini!
 
nch pekee ambayo wanawake wana kazi za juu sana jeshini wap na wap jaman ushawai kuona tetea anajibizana na jogoo
 
Culled from https://mail.google.com

"ONLY IN TANZANIA!

Yapo Maajabu mengi sana...Ila Maajabu Makuu Yaliyopo Tanzania ni Haya hapa;


1. Mmoja wa Majaji Walioteuliwa kwa Mujibu wa Tundu Lissu Kumbe ndo
kwanza anasoma shahada so darasani nae anasoma"What is Law of Torts" then anapata SUP...U can Only find in TZ....afu mwalimu wake ni advocate inakuwaje akimpelekea kesi Jaji wa aina hiyo??

2. Serikali Makini ambayo sio dhaifu ina Watumishi Hewa 9,949
wanaopata Mshahara ambao Jumla ya hela inayopotea ni kama Bil 70
ambazo zingetumika kulipa Madaktari na walimu, lakini Serikali
inasema haina hela, hawana hela ya kulipa walimu na Madaktari ila
wanazo za Watumishi hewa...Only u can find in TZ.

3. Serikali Ya Uingereza Ilirudisha Chenji ya RADA, Serikali ikasema
hela inapeleka Kununulia Vitabu kwa Ajili ya Shule Nchi nzima, Kumbe Kampuni iliyopewa tenda ya Kusambaza Vitabu nchi nzima ilitoa rushwa ya US$ 500,000 kupata tender Serikali ya Uingereza imeifungia miaka 7, You Can Only find in TZ.

4. Wanafunzi Waliofaulu Darasa la Saba get me well waliofaulu darasa
la 7 kwenda Sekondary Hawajui Kusoma wala Kuandika, Je waliofeli
Watakuwa hawajui kufanya nini??...You Can Only Find In Tanzania

5. Washiriki wa Michezo ya Kimataifa (sijataja Mchezo wala
mashindano) wako watano (5) lakini wanaowasindikiza Washiriki wako 12 You can Only find in Tanzania......

6. Sehemu Pekee ambaye Mtu uliyetaka Kumdhuru kwa Kukusumbua then
unaomba Umlinde (refer to Dr. Ulimboka's Case)..Yaani Mbwa Mwitu
anaomba kazi ya Kulinda Mbuzi......You Can Only find in Tanzania..

7.Only in Tanzania serekali inaweza kabisa kulipisha watu ushuru wa sticker ya fire Bila kuuliza kama una huo mtungi wa kuzimia moto wala kukagua gari wala kukupa hiyo sticker Na wananchi wake wakakubali na kunyamaza tu.

8. Only in Tanzania hata rais hajui ni kwanini raia wake ni masikini?


Yapo Maajabu Mengi sana Lipi nimesahau???" Ongezea Moyoni

I thank you.
 
nchi pekee wananchi wake wanasubiria ahadi ya kuletewa trein za umeme wakati trein ya kawaida tu serikali imeshindwa kuiendesha,nchi pekee ambayo kinamama wajawazito wanapakiwa kwenye ambulance za bajaji wakati barabara zina mashimo kama mahandaki na umbali ni mrefu mpaka km 120 na wakati huohuo viongozi wao wanatembelea V8.
 
" only in tanzania!

yapo maajabu mengi sana...ila maajabu ya wiki hii yaliyo tanzania ni kama ifuatavyo

1. Mmoja wa majaji walioteuliwa kwa mujibu wa tundu lissu kumbe ndo kwanza anasoma shahada so darasani nae anasoma"what is law of torts" then anapata sup...u can only find in tz..

2. Serikali makini ambayo sio dhaifu ina watumishi hewa 9,949 wanaopata mshahara ambao jumla ya hela inayopotea ni kama bil 70 ambazo zingetumika kulipa madaktari na walimu, lakini serikali inasema haina hela, hawana hela ya kulipa walimu na madaktari ila wanazo za watumishi hewa...only u can find in tz.

3. Serikali ya uingereza ilirudisha chenji ya rada, serikali ikasema hela inapeleka kununulia vitabu kwa ajili ya shule nchi nzima, kumbe kampuni iliyopewa tenda ya kusambaza vitabu nchi nzima ilitoa rushwa ya dola 500,000 kupata tender serikali ya uingereza imeifungia miaka 7, you can only find in tz.

4. Wanafunzi waliofaulu darasa la saba (get me well waliofaulu darasa la 7) kwenda sekondary hawajui kusoma wala kuandika, je waliofeli watakuwa hawajui kufanya nini...you can only find in tanzania

5. Washiriki wa michezo ya kimataifa (sijataja mchezo wala mashindano) wako watano (5) lakini wanaowasindikiza washiriki wako 12, na kurudi bila medali hata moja. You can only find in tanzania......

6. Sehemu pekee ambaye mtu uliyetaka kumdhuru kwa kukusumbua then unaomba umlinde (refer to ulimboka's case)..yaani mbwa mwitu anaomba kazi ya kulinda mbuzi......you can only find in tanzania.."

7. ......ongezeeni

rais dhaifuuuuuuuuuuuu
 
4. Wanafunzi Waliofaulu Darasa la Saba (get me well waliofaulu darasa la 7) kwenda Sekondary Hawajui Kusoma wala Kuandika, Je waliofeli Watakuwa hawajui kufanya nini...You Can Only Find In Tanzania

Shule hizo zinaitwa JANJAJANJA...
 
Yapo Maajabu mengi sana...Ila Maajabu Makuu Yaliyopo Tanzania ni Haya hapa;

1. Mmoja wa Majaji Walioteuliwa kwa Mujibu wa Tundu Lissu Kumbe ndo kwanza anasoma shahada so darasani nae anasoma"What is Law of Torts" then anapata SUP...U can Only find in TZ....afu mwalimu wake ni advocate inakuwaje akimpelekea kesi Jaji wa aina hiyo??
2. Serikali Makini ambayo sio dhaifu ina Watumishi Hewa 9,949wanaopata Mshahara ambao Jumla ya hela inayopotea ni kama Bil 70ambazo zingetumika kulipa Madaktari na walimu, lakini Serikaliinasema haina hela, hawana hela ya kulipa walimu na Madaktari ilawanazo za Watumishi hewa...Only u can find in TZ.
3. Serikali Ya Uingereza Ilirudisha Chenji ya RADA, Serikali ikasema hela inapeleka Kununulia Vitabu kwa Ajili ya Shule Nchi nzima, Kumbe Kampuni iliyopewa tenda ya Kusambaza Vitabu nchi nzima ilitoa rushwa ya US$ 500,000 kupata tender Serikali ya Uingereza imeifungia miaka 7, You Can Only find in TZ.
4. Wanafunzi Waliofaulu Darasa la Saba get me well waliofaulu darasala 7 kwenda Sekondary Hawajui Kusoma wala Kuandika, Je waliofeliWatakuwa hawajui kufanya nini??...You Can Only Find In Tanzania
5. Washiriki wa Michezo ya Kimataifa (sijataja Mchezo walamashindano) wako watano (5) lakini wanaowasindikiza Washiriki wako 12 You can Only find in Tanzania......
6. Sehemu Pekee ambaye Mtu uliyetaka Kumdhuru kwa Kukusumbua then unaomba Umlinde (refer to Dr. Ulimboka's Case)..Yaani Mbwa Mwitu anaomba kazi ya Kulinda Mbuzi......You Can Only find in Tanzania..
7.Only in Tanzania serekali inaweza kabisa kulipisha watu ushuru wa sticker ya fire Bila kuuliza kama una huo mtungi wa kuzimia moto wala kukagua gari wala kukupa hiyo sticker Na wananchi wake wakakubali na kunyamaza tu.8.
Only in Tanzania hata rais hajui ni kwanini raia wake ni masikini?

Yapo Maajabu Mengi sana Lipi nimesahau???" Ongezea Moyoni
 
Nchi pekee ambayo wabunge wa upinzani wanamuomba spika afunge mlango ili wabunge wachapane makonde na wale wa chama tawala.

kwa style hiyo iko siku utaenda hospitali kutoa JINO kwanza ukiishatoa ndio mwisho UNAPIGWA GANZI haya tusubiri yajayo yuone
 
Ukiachana na kituko cha wanafunzi kufaulu bila kujua kusoma na kuandika. Tanzania kuna vituko vingine vingi.


Ni Tanzania pekee ambapo utaiona gari ya serikali ina tumia plate number 2 tofauti kwa mda mmoja. Wameamua kuficha number za serikali na kuweka za binafsi. Only in Tanzania.
Central.jpg


Kile kituko cha Mulugo kusema kuwa Tz ni muunganiko wa Zimbabwe na Pemba msikimaindi saaaaana ni "slip of the tongue" au waswahili wanasema kuteleza kwa ulimi.Inawezekana ulimi wa Mhe. Mulugo ulikuwa na mlenda mwingi sana. Maana ulimi uliteleza kwenye presentation yote


Senki yuu vere mache redis and jontromen.
 
Back
Top Bottom