Only in Tanzania !

Open Univ inasaidia sana. Rais Karume (mstaafu) alikuwa akisoma pale, sijui kama alimaliza au la. Shamuhuna naye aligraduate pale mwaka juzi nk. Wazee wanapiga miasainimenti, matesti, matekihome, mayuii, masaplimentari kama kawaida. Jaji naye anagonga msuli.

Yaani Open University umeluwa uchochoro wa kutoa qualification kwa vilaza Kama huyu jaji ..,viongozi wanaotaka sifa,wake zao etc....hata Mke wa Punda naye anajichukulia Bcom yaks pale...
 
1. Nchi inayojitapa kuwa ina serikali sikivu lakini serikali hiyo haitaki kusikia au kuongea na makundi yenye madai na kukimbilia kuwaziba sauti watu wake mahakamani ili isiwasikie.

2. Nchi yenye raisi asiye jua chanzo cha umasikini wa watu wake. Kumbuka ile kauli ya jk alipo hojiwa na mwandishi wa france.

3. Nchi yenye raisi ambaye amesha wahi kuwaomba wezi wa fedha kurudisha walichoiba huku wezi wa ndala na wakwapua simu wakipigwa ban (kuchomwa moto).

4. Nchi yenye usalama unaoruhusu ndege ya nchi nyingine kuingia kwenye anga yake kuja kubeba wanyama hai walio ibiwa na viongozi waandamizi wa serikali.

5. Nchi yenye bunge lenye spika ambae akitaka hoja iungwe mkono akiwahoji watu sauti za siooooo zikiwa kubwa kuliko ndio walio sema ndio hata kama ni wachache wanashinda. Kumbuka hoja ya wenje jana.

6. Nchi ambayo mnajimu mkuu ameshawahi kutangaza kumlinda raisi kwa ulinzi usio onekana. Achilia mbali ule wa vifaru na mizinga.

7. Nchi ambayo wakati wa uchaguzi viongozi wa chama tawala huwatishia watu kuhusu kuingizwa nchini makundi ya kigaidi huku wakijua kuna vyombo vya usalama.
 
Kuwa na chama cha upinzani ambacho upande wa pili wa Muungano (Zanzibar) hakina hata sheha (mjumbe wa nyumba kumi), wala muwakilishi hata mmoja wala mbunge hata mmoja. Halafu kinaamini kabisa hicho ndio chama mbadala cha Watanzania...kwi kwi kwi teh teh teh!

Kukosa wabunge pemba na kuunda SUK jiulize
 
Bunge linalopitisha sheria kama ile ya mafao ya kujitoa na baadae wanakuja kuishangaa.

can only happen in tanzania bana!
 
-Serikali inayofanyia utapeli wananchi wake kwa kung'ángánia fedha zao za mifuko ya jamii,SSRA
-Ni nchi ambayo Rais wake anafikiria kusafiri tu na hakai ofisini aweze kutatua kero za wananchi wake.
-Ni nchi ambayo wasomi wake wana fisadi na kuwaibia wasiosoma ingawa waliwasomesha kwa kodi zao.
-Nchi ambayo kila mpango wa fedha wa serikali ikiwemo mikataba na manunuzi ya umma ni siri utafikiri fedha ni zao
 
Only in Tanzania...

Chadema ina wabunge wa kuteuliwa 23 halafu wanakuambia wana nguvu ya Umma...teh teh teh teh.
 
kutumia gharama kubwa kufanya sherehe ya miaka 50 ya uhuru wakati wananchi wana matatizo ya msingi kibao kama kukosa elimu, afya duni na ukosefu wa ajira na miundo mbinu mingine
rais badala ya kutatua matatizo ya msingi ya watanzania anapanga kuwaleta wahispania kucheza soka!
 
....Raisi kubadilishana neti na madini, Raisi hajui kwa nini nchi yake ni maskini, Rais kuwa na ndoto ya kuleta timu kubwa na tajiri duniani kuja kushangaa umaskini wetu..!
 
Kuwa na bunge zuri na la kisasa lakini yanayojadiliwa humo bure kabisaaa,kwani hayalengi kumkomboa mwananchi wa kawaida!
 
1. Nchi inayojitapa kuwa ina serikali sikivu lakini serikali hiyo haitaki kusikia au kuongea na makundi yenye madai na kukimbilia kuwaziba sauti watu wake mahakamani ili isiwasikie.

2. Nchi yenye raisi asiye jua chanzo cha umasikini wa watu wake. Kumbuka ile kauli ya jk alipo hojiwa na mwandishi wa france.

3. Nchi yenye raisi ambaye amesha wahi kuwaomba wezi wa fedha kurudisha walichoiba huku wezi wa ndala na wakwapua simu wakipigwa ban (kuchomwa moto).

4. Nchi yenye usalama unaoruhusu ndege ya nchi nyingine kuingia kwenye anga yake kuja kubeba wanyama hai walio ibiwa na viongozi waandamizi wa serikali.

5. Nchi yenye bunge lenye spika ambae akitaka hoja iungwe mkono akiwahoji watu sauti za siooooo zikiwa kubwa kuliko ndio walio sema ndio hata kama ni wachache wanashinda. Kumbuka hoja ya wenje jana.

6. Nchi ambayo mnajimu mkuu ameshawahi kutangaza kumlinda raisi kwa ulinzi usio onekana. Achilia mbali ule wa vifaru na mizinga.

7. Nchi ambayo wakati wa uchaguzi viongozi wa chama tawala huwatishia watu kuhusu kuingizwa nchini makundi ya kigaidi huku wakijua kuna vyombo vya usalama.

Mpelekee Kubenea hii habari au Tanzania Daima utapata pesa ya bia.
 
meli toka bandar ya dar ikazamia zanzibar wanaowajibika (sio tanganyaka they are perfect only zanzibar) lakn bara tunainda tume kuipa tena hasara zaidi serikali .can only be found in tz. thanks JK
 
....Raisi kubadilishana neti na madini, Raisi hajui kwa nini nchi yake ni maskini, Rais kuwa na ndoto ya kuleta timu kubwa na tajiri duniani kuja kushangaa umaskini wetu..!

Ulitaka abadilishane na magwanda? kwi kwi kwi teh teh teh.
 
Back
Top Bottom