Ehud JF-Expert Member Feb 12, 2008 2,685 337 Jan 4, 2011 #2 Hawa jamaa wanamambo ya kufikirika kuliko nchi ya Kusadikika!
Rungu JF-Expert Member Feb 23, 2007 3,932 1,726 Jan 4, 2011 #4 Nilisafiri kwa gari toka Islamabad hadi Lahore na ukweli niliona mambo. Halafu hawa jamaa wana ile hashish nyeusi (afghan) ukiivuta jasho litakutoka!
Nilisafiri kwa gari toka Islamabad hadi Lahore na ukweli niliona mambo. Halafu hawa jamaa wana ile hashish nyeusi (afghan) ukiivuta jasho litakutoka!
Chimunguru JF-Expert Member May 3, 2009 10,678 4,350 Jan 4, 2011 #5 Anayeswali na msala/mkeke wa bendera ya obama huyo kaniacha hoooooooi
Ndallo JF-Expert Member Oct 1, 2010 7,619 4,292 Jan 4, 2011 #6 Hata mimi huo mswala umeniacha kushoto!:teeth:
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Jan 4, 2011 #7 Chimunguru said: Anayeswali na msala/mkeke wa bendera ya obama huyo kaniacha hoooooooi Click to expand... oya avatar yako unamaanisha nini?
Chimunguru said: Anayeswali na msala/mkeke wa bendera ya obama huyo kaniacha hoooooooi Click to expand... oya avatar yako unamaanisha nini?
Homo Habilis Senior Member Jul 2, 2009 188 23 Jan 4, 2011 #8 Ivuga said: oya avatar yako unamaanisha nini? Click to expand... we kweli TEJA huoni hiyo 2011.?
Genekai R I P Feb 9, 2010 12,517 4,987 Jan 4, 2011 #9 Hawa jamaa me huwa nachelewa sana kuwaelewa. But inawezekana alikuwa anarekebisha saa baada ya tatizo fulani la kiufundi!
Hawa jamaa me huwa nachelewa sana kuwaelewa. But inawezekana alikuwa anarekebisha saa baada ya tatizo fulani la kiufundi!
SILENT WHISPER JF-Expert Member Jun 26, 2009 2,209 821 Jan 5, 2011 Thread starter #10 Chimunguru said: Anayeswali na msala/mkeke wa bendera ya obama huyo kaniacha hoooooooi Click to expand... hahahaaha...! siku wakiandamana wanaichoma..! lol
Chimunguru said: Anayeswali na msala/mkeke wa bendera ya obama huyo kaniacha hoooooooi Click to expand... hahahaaha...! siku wakiandamana wanaichoma..! lol
Utingo JF-Expert Member Dec 15, 2009 10,270 8,031 Jan 5, 2011 #11 huyu anaposujudu si anaisujudia marekani?