Ramthods
JF-Expert Member
- Jun 2, 2009
- 515
- 186
Ndugu wana JF,
Kwanza nianze kwa kukushukuru kusoma posti hii.
Pili, ningependa kupata ushauri wako juu ya Huduma za kupitia internet ambazo zingewafaa wenzetu walioko nje ya nchi.
Binafsi, nilikua na mawazo machache, mfano online music store.
Najua it's hard kupata nyimbo latest za bongo ukiwa nchi kama US, UK na kadhalika, lakini najua mpo ambao mngependa kudownload nyimbo mzipendazo through internet kwa fee ndogo mfano $0.6 per song.
Hii itaongeza pato pia kwa wanamuziki wa kibongo ambao wanazulimiwa na wahindi kila kukicha.
Idea nyingine ni ku offer live news feeds ya magazeti yote ya kibongo. Pia hii itafungua market ya magazeti nje ya nchi na kuwasaidia wabongo wenzetu walio nje ya nchi.
Naomba wana JF mniongezee hii listi yangu. Mimi ni software developer, na ningependa sana ku offer moja ya service ambazo wenzangu mtapendekeza.
Asante sana
Kwanza nianze kwa kukushukuru kusoma posti hii.
Pili, ningependa kupata ushauri wako juu ya Huduma za kupitia internet ambazo zingewafaa wenzetu walioko nje ya nchi.
Binafsi, nilikua na mawazo machache, mfano online music store.
Najua it's hard kupata nyimbo latest za bongo ukiwa nchi kama US, UK na kadhalika, lakini najua mpo ambao mngependa kudownload nyimbo mzipendazo through internet kwa fee ndogo mfano $0.6 per song.
Hii itaongeza pato pia kwa wanamuziki wa kibongo ambao wanazulimiwa na wahindi kila kukicha.
Idea nyingine ni ku offer live news feeds ya magazeti yote ya kibongo. Pia hii itafungua market ya magazeti nje ya nchi na kuwasaidia wabongo wenzetu walio nje ya nchi.
Naomba wana JF mniongezee hii listi yangu. Mimi ni software developer, na ningependa sana ku offer moja ya service ambazo wenzangu mtapendekeza.
Asante sana