Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,277
- 9,912
Good post. Kumbe ni kweli Jf ni ya Chadema. Utaona kila post CDM good. Tuwe kitaifa zaidi. Hii ni kawaida kwa Post za kibongo kushabikia hata jambo lisilo na tija kwa Taifa.
Jf take care. Kuna blog nyingi zimefungwa kwa ajili ya uchochezi. I am sure if you do not change your trend soon or later it will be blocked. I am sure 100%. Bye
Ama kweli wewe hamnazo JF Haitafugwa kamwe na itadumu mpaka mabadiliko ya kweli yapatikane hizi siyo zama za kutishana bana wewe vipi!