BIG Banned
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 262
- 71
Wataalam wa uchumi hebu tusaidieni nini hasa maana ya ongezeko la mshahara. Napata wasiwasi sana na hizi nyongeza za mishahara kwa serikali kila mwaka. uhusiano wa ongezeko la mishahara na kupanda kwa bei ya mahitaji ya kila siku. Maana kama nilikuwa napata laki 2 na ilikuwa inanitosha kwa mwezi, halafu ifike wakati napata milioni 2 na bado ikifika mwisho wa mwezi sibakiwi na kitu, sasa hili neno la ongezeko la mshahara naona kama linatumiwa vibaya hapa!. Ongezeko ni Figure tu ya mshahara au ni value ya mshahara!!.
Nawasilisha.
Nawasilisha.