Pamoja na mbwembwe Kibuli, Jeuri,Kejeli za JOAN PONG MALOCK Kuhusu sakata la ongezeko la Nauli, Mapato yamepungua kwa siku pamoja na kwamba hata zile takwimu za awali aliongopewa na watendaji wa TAMESA. Inspectors wanabadilishwa kila kukicha kwa gharama lakini kila anayegusa huleweshwa kwa mafungu ambayo kwa hali yoyote hawezi kuchomoa.
Hapo anatakiwa Mzalendo ndo mambo yaende! Wakubwa wanayo akaunti maalumu iliyoshiba ya kummaliza yeyote atakayeinua lolote kukwamisha ulaji. Hata WZR JPM na mwa k iko fungu Watu hawajapigambizi wala kuzungukz Kongowe kwa nini mapato chini kuliko hata kabla ya nyongeza ya nauli?? Pantoni ikisimama hakuna fedha za Matengenezo zaenda wapi?!?
Hapo anatakiwa Mzalendo ndo mambo yaende! Wakubwa wanayo akaunti maalumu iliyoshiba ya kummaliza yeyote atakayeinua lolote kukwamisha ulaji. Hata WZR JPM na mwa k iko fungu Watu hawajapigambizi wala kuzungukz Kongowe kwa nini mapato chini kuliko hata kabla ya nyongeza ya nauli?? Pantoni ikisimama hakuna fedha za Matengenezo zaenda wapi?!?