pitbull
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 592
- 178
Kwenu wachoyo mpaka mkimeza mate mnajificha.......! Kwenu ni slow learners mpaka mlirudia sunday school...! Tv yenu ni ndogo hadi usain bolt akikimbia anamalizia mbio kwa jirani....! Kwenu mko wengi hadi kwenye korido mmeweka bounce na trafik light....! We ni **** mpaka uliweka majani ya chai kwenye sprite ndio iwe cocacola.....! Una kichwa kidogo hadi ukisoma gazeti m2 akipita kwa mbali unaweza kusema ni fullstop! Kama vp ongezea utani bc!