Viazi vilivyoletwa hapa cc jana ulivionaje?
Hivi vinalika vile kweli ?
Maisha yenyewe mafupi haya! Kwa nini nisikuongezee walau one day? Haya kula hiyo! Ni kijana tourguide akiongea na mtalii kabla hawajapanda mlima.
"To plant mout Kilimanjaro is very president job " kwa maana ya "kupanda mlima K'njaro ni kazi rahisi sana"
Niongezee siku basi na wewe! Kupeana si ni kikoa bwanaa! ?
Tafuta Sredi ina heading "ukistaajabu ya musa ya kiazi " imeletwa na Meeku tena still yet iko online.
Ukishaiona rudi hapa unipe majibu!
Viazi utavitaka!
Viazi vilivyoletwa hapa cc jana ulivionaje?
Hivi vinalika vile kweli ?
Maisha yenyewe mafupi haya! Kwa nini nisikuongezee walau one day? Haya kula hiyo! Ni kijana tourguide akiongea na mtalii kabla hawajapanda mlima.
"To plant mout Kilimanjaro is very president job " kwa maana ya "kupanda mlima K'njaro ni kazi rahisi sana"
Niongezee siku basi na wewe! Kupeana si ni kikoa bwanaa! ?