Ongea kingereza ndani ya miezi mitatu na jomo kenyatta university arusha

Apr 12, 2012
2
1
Chuo kikuu cha Jomo Kenyatta kilicho jijini Arusha kinachotoa masomo ya kilimo na teknoloija, Sasa kinatangaza nafasi ya English Course kwa cheti cha Certificate itakayoanza mwezi wa tano 2012.


Kozi hii inafundishwa na wataalam wa kingereza ili uweze kuwa stadi katika kiingereza. Kwa kuongea,kujadiliana na kuandika na kwa wale wote wanaotaka kuboresha na kujiendeleza kielimu katika lugha ya Kiingereza


Vipindi: Ni vya jioni
Ada: TSHS 400,000/= TU kwa muda wa wiki kumi na mbili
Fomu za kujiunga ni TSHS 10,000/= na zinapatikana Jomo Kenyatta University, IGM Consulting services karibu na Bonitte Bottlers
Kozi hii ni maalum kwa watu wote waliohitimu kidato cha nne na kuendelea. Jiunge sasa nafasi nichache!

Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0789-143834 au tuma barua pepe kwenda cvskillsigm@gmail.com
 
Hello,please confirm kama bado mnaendelea na kufundisha english course at Jomo kenyata university Arusha
 
Back
Top Bottom