Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 2,790
- 1,232
Hiyo ya Moshi iliniacha hoi...yaani baada ya polisi kugundua kuwa wanepewa hela bandia ya rushwa wakaamua kutafuta kifaa cha kutambua kama fedha ni halali au la ili wasipigwe bao na watoa rushwa. Bongo haiishi vituko.labda hayajakukuta, umewahi kusikia wale trafik police wa himo moshi wana mashine ya kucheki pesa feki barabarani ulishasikia wamekamata pesa ngapi feki