Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Tell him mama! That you belong to me and only me!:A S clock:I'm too good for one-night stand and too good for you NN..... so u really have to give up....
Tell him mama! That you belong to me and only me!:A S clock:I'm too good for one-night stand and too good for you NN..... so u really have to give up....
I'm too good for one-night stand and too good for you NN..... so u really have to give up....
Hahahaaa! haya bana!mmhhh hatatri iyo jsmsn msifanye ivo tena
mungu apendi ata mwandosya pia ataki
Hapa leo mnajadili nini vile?:drum:
Hahahaha! Hii si sawa kabisa na kudumisha mila. Mila inadumishwa kwa kufuata kanuni zote zinazostahili. Halafu sheria ya Mila ni lazima kuwe na rivenji!!!hommie lakini hii sy siku moja inakaaje I mean usiku mmoja,,,ni sawa na kudumisha mila?
Hahahaha! Hii si sawa kabisa na kudumisha mila. Mila inadumishwa kwa kufuata kanuni zote zinazostahili. Halafu sheria ya Mila ni lazima kuwe na rivenji!!!
Ngoja nikupe siri....kwa seasoned playa kama mimi, huo ni mwiko nambari wani! Kwenda kwa shori uliyekutana naye usiku huo huo si salama hata kidogo. Fanya juu chini uende naye kwako. Kama kwako namna gani vipi, mpeleke kwenye geto la mshikaji. Kama kwenye geto la mshikaji hakieleweki nenda gesti au motel au hotel. Kama hayo yote hayawezekani, mega kwenye gari kwenye kiti cha nyuma.
Nina rafiki yangu wa karibu sana aliuwawa miaka saba iliyopita. Alifumaniwa na demu wa mtu nyumbani kwa huyo demu. Akapigwa shaba akafa papo hapo. Mpaka leo hii nina machungu. Laiti angeongea nami kabla hajaenda kwa huyo mwanamke huenda angekuwa bado yu hai!! Sad story
:tape::tape::tape:mmmh....naona kuna rivenji inanukia mahali....hivi TEAMO leo ako gest gani?
Oh dear. How did you get your panties in a twist so fast, NN? Second of all, you are some nasty piece of work. Repulsive and annoying. Your little tantrum here is a bit out of place. Or is it? lolHa! really? I knew you were stuck up and it's your loss, not mine. You're not in my league...I date top notch ladies...not some nonentity teeny boppers....on to the next one.
Yanini malumbano?:drum::tape::tape::tape:
YAANINI MANENOOOOOOOOOOOOOOOOO!najiweka pembeniii naepusha msongamanoooooooooYanini malumbano?:drum:
Oh dear. How did you get your panties in a twist so fast, NN? Second of all, you are some nasty piece of work. Repulsive and annoying. Your little tantrum here is a bit out of place. Or is it? lol
Maybe you should man-up a little and accept the rejection...And yes, NN. There is no way in friggin hell that I'd ever let my guard down and let a man like you get within a mile of me. You can bet your twisted panties on that.
and ahhhh dont u get bored of telling us how good u r while we know deep inside you are a big loser.....
hhaa whatever....
Umeshawahi kuwa na one night stand? Nahisi wengi wenu huenda mkajishaua lakini idadi kubwa ya watu walau huwa na moja maishani mwao.
Usiambiwe bana..one night stand kwa meni ni kitu kinacho piga jeki kujiamini na kujiona bingwa flani hivi.
Hebu fikiria kidogo...Ijumaa imewadia wewe na machizi wako mmeamua kwenda kiwanja. Mnafika kiwanja mnakamata vinywaji mnaanza kunywa polepole. Kadiri muda unavyozidi kwenda hamu ya kucheza muziki na yenyewe inaongezeka. Mnaamua na nyinyi mjiunge kwenye kuchezea muziki.
Unakutana na shori unaanza kucheza naye. Mara kidogo kidogo mzee unaanza kubambia....mnacheza miziki miwili mitatu shori kachoka anataka kwenda kuketi. Mnaenda kuketi mnaanza mazungumzo....taratiiibu mzee unaanza kutema sumu. Shori anaanza kuwa na kisebusebu....mwishowe unamshawishi muondoke wote.
Muda wa kuondoka unafika. Mnatoka nje ya klabu na shori bado anakuwa hana uhakika kama aondoke na wewe au aondoke na rafiki zake aliokuja nao. Mazee unazidisha mashambulizi...sasa unaanza kudondosha sumu zenye maangamizi makubwa. Shori anakubali lakini kwa sharti la wewe kwenda nyumbani kwake. Na hujiulizi mara mbili wala nini unawasha gari na kwenda naye kwake.
Unalala usiku uliobakia hapo kwake na unamega. Kesho asubuhi yake mnaamka anakutengenezea kifungua kinywa, mzee unatia ndani halafu unatimua.
Njiani mwenyewe unajiona biiingwa...unaanza kutabasamu tu peke yako. Baadaye mnawasiliana wasiliana lakini mwasiliano yanakuwa hafifu mwishowe mnaacha kabisa kuwasiliana. Baadaye miaka kadhaa mnakuja mnakutana....mwenzio keshamaliza shule ya udaktari na sasa ni resident doctor kwenye hospitali kubwa tu. Unajisemea kimoyomoyo....duh! nimemega pale...it was a one night stand...
Wadau mmeshawahi kuwa na one night stand?
YAANINI MANENOOOOOOOOOOOOOOOOO!najiweka pembeniii naepusha msongamanooooooooo
bora nitulieeeeeeeeeeeeeeee