MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Yale ambayo usiku mmoja mnafanya wima..............mkiwa mmesimama!
Hivi unaweza kufanya 'usiku mmoja kusimama' na unayemfahamu?
Mnakutana leo..mnamalizana leo!
siku mkiamua kukurudia ruksa......no strings attached at first ila as days go....wengine huwa na strings.....
Mmoja akinogewa lazima!Mara kawivu...mara mbona umepoteo...kidogo kidogo wanafall!
Duh! ndo stail za machangu hzo?
Hehehe sio kiivyo maana hawalipani!Kila mtu anaangalia starehe yake!
dearest hii kitu isiskie kwa wenzio....watu wamejidai ooooohhh sitaki strings...leo ni mume na mke.....love nyingine huanza kiajabu sana!!!!!!
kabisaaaaaa.....ila ukweli ka wivu kanakuwepo ukisha-do na mtu....:spider:
Orait. Najifunza, mimi mwanafunzi. Hivi kufall kunaanza baada ya mchakachuog?g!!
mwanafunzi uwe wewe Biggie???? ku-fall kunaweza anza before or after or during mchakachuo....l.o.l
Kuna rafiki yangu aliniambia kuwa yeye hupendelea mapenzi ya "one night stand"
sikumuelewa afu nilijisikia noma kumuuliza.
Mwenye kujua au aliyewahi kufanya naomba utujuze.....
Yale ambayo usiku mmoja mnafanya wima..............mkiwa mmesimama!
siku mkiamua kukurudia ruksa......no strings attached at first ila as days go....wengine huwa na strings.....
Simama na Misizi!Vijana watakuvunja mgongo!You giving me some ideas.....
Naona kila mtu atasema la kwake;nafikiri tuende kivitendo zaidi ndiyo tulete maneno.Kwasababu tutakuwa tumepata ushahidi wa kitu gani tunakisema.Hivyo basi,kama kuna mwanadada ambaye yuko tayari ninaomba ani-PM ili nishirikiane nae katika kufanya huo utafiti;halafu tupate majibu sahihi.
dearest hii kitu isiskie kwa wenzio....watu wamejidai ooooohhh sitaki strings...leo ni mume na mke.....love nyingine huanza kiajabu sana!!!!!!
Hapa naomba tutafutane kwa wine na nyama choma...,kuna kambuzi kanajisikia lonely hapa.
etieeeeeeeeeeehhhh.... kamupenzi kanaeuka kamulinzi..!!!!kabisaaaaaa.....ila ukweli ka wivu kanakuwepo ukisha-do na mtu....:spider:
hii inakuaje?during mchakachuo akili si huwa zinapotea?
Yale ambayo usiku mmoja mnafanya wima..............mkiwa mmesimama!
kweli! Halafu hapa huwa mkikumbuka mnachekacheka wee!ukimaliza si akili inarudi unakumbukia game ilivyokuwa au?
kweli! Halafu hapa huwa mkikumbuka mnachekacheka wee!