bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Well sasa mnalalamika nini............ The hit and run thing does not have to come smoothly jamani just kama inavyokuwa kwa hao mnaowahit na kuwakimbia. So usumbufu lazima uwepo couse hata mnachokifanya nini si sahihi.
Unajua MJ1, hata nyie akina dada mna entertain hii hali ya kudanganywa!kwani kama mngetoa miongozo mda mrefu tu kuwa jamaa akikuapproach na akakwambia straight kuwa anataka apige mzigo kisha atambae na nyinyi pasipo ubishi mkaona ni hali ya kawaida wala kusingekuwa na mgogoro!
Lakini tatizo ukienda straight unaweza ukaonekana kama kichaa au mwendawazimu!utasikia eeeh huyu kaka vipi, kaniona mi malaya nini!!!!sijui ananiambia ushenzi gani yaani anafikiri mimi nauza............