Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,422
- 911,172
Kwa mwanaumme huyu yeye alielewa anajifurahisha tu kwa usiku huo mmoja wa matanuzi.........................kumbe kwa mwanadada huyu yeye aliona huo ulikuwa ni mwanzo wa penzi la milele........................kwa hiyo kila mmoja usiku huo alikuwa na njozi zake.................
Siku iliyofuata waliachana vizuri kwa ahadi ya kuwa wataendeleza ufalme wao wa mahaba kemkem...............njemba iliitikia tu ikijua hiyo ilikuwa a forgettable "One night stand" yaani ndiyo imetoka hivyo lakini njemba huyu hakujua alikuwa amejiingiza bila ya kupenda au kutahadharishwa kwenye vurugu na kasheshe nzito vile.............
Pamoja na jitihada za kumkwepa mwali huyo jamaa alijikuta akiandamwa na sms kibao na simu za hapa kwa pale...................alipoona ni usumbufu ilibidi amwambie wazi mwanadada huyo kuwa .........................aiseeeeeeeeeeeee.............it is over................
Yule mwanadada alipogundua kumbe hii njemba ni "hit and run" na wala siyo mwanaumme mwenye mipango madhubuti ya kuishi naye moja kwa zote.....................hasira zilimpanda na akaanza kumsema vibaya jamaa kuwa uume wake kwanza ni mdogo sana na hata mapenzi kitandani hajui................................................na mambo mengi kibao ya hapa na pale.....Akamchafua mtaani ile mbaya..............mwenzie akanuka kwa kauli hizo chafu...............za sour grapes..............
Hivi kwa nini akina dada ni wazito kuelewa ukimmegea mtu kifaa chako usidhani huo ni mkataba wa kudumu?
Siku iliyofuata waliachana vizuri kwa ahadi ya kuwa wataendeleza ufalme wao wa mahaba kemkem...............njemba iliitikia tu ikijua hiyo ilikuwa a forgettable "One night stand" yaani ndiyo imetoka hivyo lakini njemba huyu hakujua alikuwa amejiingiza bila ya kupenda au kutahadharishwa kwenye vurugu na kasheshe nzito vile.............
Pamoja na jitihada za kumkwepa mwali huyo jamaa alijikuta akiandamwa na sms kibao na simu za hapa kwa pale...................alipoona ni usumbufu ilibidi amwambie wazi mwanadada huyo kuwa .........................aiseeeeeeeeeeeee.............it is over................
Yule mwanadada alipogundua kumbe hii njemba ni "hit and run" na wala siyo mwanaumme mwenye mipango madhubuti ya kuishi naye moja kwa zote.....................hasira zilimpanda na akaanza kumsema vibaya jamaa kuwa uume wake kwanza ni mdogo sana na hata mapenzi kitandani hajui................................................na mambo mengi kibao ya hapa na pale.....Akamchafua mtaani ile mbaya..............mwenzie akanuka kwa kauli hizo chafu...............za sour grapes..............
Hivi kwa nini akina dada ni wazito kuelewa ukimmegea mtu kifaa chako usidhani huo ni mkataba wa kudumu?