Ona Wanaojua Kufanya Kweli: Respect Kwa Rule of Law!

Whether we like it or not, utawala wa sheria hauna substitute. Never. Ndo maana ukiangalia sana nchi za magharibi wameendelea na watazidi kusonga mbele kwa sababu serikali zimejiwekea majukumu mawili makubwa: kukusanya kodi na ku-enforce sheria! The rest ni wewe na mimi. Binadamu ni kiumbe korofi sana. Hata US au Europe, sio kwamba raia wake wana akili kuliko sisi..ila mjomba, wanajua sheria ni Biblia. China wameshaligundua hilo, ndo maana, leo kukwepa kodi China ni sawa sawa na kuua! obviously we cant walk fast than the music, but we have to start from somehwere!

I can assure you, ikitokea Africa/Tanzania tukapata kiongozi mwenye kulielewa hili na kulifanyia kazi kwa dhati: Basi safari ya kuelekea nchi ya ahadi itakuwa imeanza officially. Kwa sasa bado tunapiga round about kwenye jangwa kama wana wa Israeli na Musa.

Maendeleo ya Africa lies within ourselves. Wala hatuhitaji $$ of billions za G8 au wengine, we need self reflection and DISCIPLINE so that we can get our priorities right! I might be wrong, but thats my conviction, bila rule of law, we are headed no where!
 
Mkuu wangu Pundint,

Inaelekea unasoma sana magazeti na siasa za US, huyu aliyefungwa China, alikuwa boss wa chama tawala cha China in Shanghai, halafu pia alikuwa member wa Central Committee, sasa haiwezi ku-get more than huyu ni seniority katika government au party's senior official, na amefungwa tena miaka 18, rafiki yake aliyekuwa the most rich man in China naye amefungwa miaka 19, uchunguzi umeonyesha kuwa huyu kiongozi wa Kamati kuu ya China, amekuwa akiiba kwa muda mrefu toka mwaka 1988, mkuu wangu naomba nikuambie one thing kuhusu China, ambako nimewahi kuishi kidogo, as far as the power is concerned, anayemzidi huyu kiongozi aliyefungwa ni rais na waziri mkuu tu wa China, basi kwa hiyo kufungwa kwa huyu kiongozi ni sawa na kufungwa kwa mjumbe yoyote wa cc bongo,

Hata Mama Mao, si unakumbuka the gang of six, jinsi walivyomsulubu baada ya mumewe kufariki, alipoataka kuleta ujanja, mkuu sema mengine kwenye the rule of law, wa-china wako mstari wako mbele kuliko hata US, kwa sababu kumbuka Nixon walimruhusu tu kujiuzulu ili asishitakiwe, lakini China hawana hiyo nafasi ya kukuacha ujiuzulu, ukipona kupigwa risasi mbele ya public, basi ni miaka 18 jela kama huyu mkulu,

However, China ina some domestic political ishus ambazo ni no body's business, kwa sababu hata US wanazo domestic ishus pia, wasingekuwa nazo yaani US basi wasingeweka raia wa nchi zingine kule Guantanamo, tena kwenye nchi ya watu na sio kwao yaani US. Kuna kina Mumia-Abdul wako huko Us kwenye death block toka miaka ya 70s, wakati inaeleweka kuwa hawana hatia, ninasema kuwa China ni numero uno kwa respect kwa the rule of law, haimbikishi kiongozi yoyote kuanzia wa juu mpaka chini, either unakula risasi au unakula miaka 18 jela, kujiuzulu sio an-option kabisaa huko,

Mkuu wangu Pundint, njoo tu ndugu yangu tujiunge kudai haki na hasa kwa viongozi wetu wa juu, na mifano ndio hiii tunapewa na China.

Mkuu FMES,

Wachina wanajua sana kucheza na PR, ujue katika Communist Party nako kuna Communist Party mtandao na Communist Party original, sasa hawa bangusilo wanatolewa kafara kwa PR kama Kikwete alivyomtoa Lowassa (kama Lowassa, siyo kweli kwamba hawajahusika,wamehusika, lakini hiyo haimaanishi kwamba kuna rule of law, ila kama ulivyowahi kusema ni mambo ya rule of politics na jamaa hawako kwenye Communist Party "mtandao")

Hizo issue nyingine kuhusu rule of law China ziko unimpeachable, unless your idea of rule of law ni kwamba mtu akiruhusu madawa yasiyofaa apigwe shaba.
 
MWALIMU WAS THE BINGWA OF TZ POLITICS,ALIZITUMIA ALIVYOPENDA KWA FAIDA YAKE 50% NA UMMA 50%; UKIMJADILI MWALIMU NA HATIMA YA NCHI ALIYOIACHA UTAPATA MAJIBU KWA NINI WARITHI WAKE HAWAKUMGUSA NA WAMEENDELEA NA HALI HIYO,TANZANIA YA 1961-1987 HAIKUSTAHILI KUWEPO KTK HALI ILE KAMA SI SIASA ZA MWALIMU,ALIKUWA ANAFAHAMU NJIA SAHIHI NI IPI ILA HAKUWAAMINI WATANZANIA WALIO WENGI AKACHAGUA WATEULE WACHACHE,KUFELI KWA UCHUMI HAIKUWA BAHATI MBAYA BALI MAAMUZI MABAYA YA KUTAIFISHA NJIA KUU ZA UCHUMI TOKA KWA ALIOWAITA MABEPARI NA KUPE NA KULE AFRICANIZATION AMBAYO HAIKUWA TAYARI, HAIKUSHANGAZA SERIKALI KUUZA MIKATE,SUKARI,CHAI,CHUMVI NA UNGA, KUNA SIKU NILIMSIKIA MZEE MALECELA AKITETEA MAGEUZI YA KIUCHUMI TOKA HODHI ZA SERIKALI NA KWENDA KWA UMMA,AKASEMA NI HATARI KUNG'ANGANIA KUUZA MAJI YA BOMBA HATA UK -MUUZA MAJI PALE NI MFARANSA ,WHAY NOT US? NILIWASOMA WANA HABARI WENGI WAKIMSHUTUMU LAKINI ILIKUWA FACT TENA ILITAMKWA WAKATI TICHA YUPO,NDG ZANGU HAYA MADUDU HAYAKUANZIA AZIMIO LA ZANZIBAR BALI AZIMIO LA ARUSHA,KUPANGA NI KUCHAGUA jkn's ;UNAPOPANGA NI LAZIMA UJIANDAE KUCHAGUA KILICHO BORA KWA WOTE LAKINI SIVYO ILIVYOTOKEA 1967,AZIMIO LA ARUSHA NDILO LILILOZALISHA WATANZANIA WASIO JIAMINI LEO,WASIOLIPA KODI MAANA KAMA SI MJASIALIMALI UTAPATA WAPI UTAMADUNI WA KULIPIA, WATANZANIA WAONGO NA WANAFIKI WA LEO NA ZAIDI ALIDUMAZA MWENENDO MZIMA WA UWAJIBIKAJI-UZALISHAJI KWA TIJA PALE ALIPOPELEKA SIASA ZA CHAMA KTK MENEJIMENTI ZA UZALISHAJI NA UJENZI WA UCHUMI,NDIO MAANA NAKUBALI KUWA HAKUMUACHIA NCHI TULIVU MWINYI,NAKUBALI PIA MWINYI ALILEWA 10M$ TOKA KWA BOB ILI AANZIE KAZI PALE ALIPOISHIA MWALIMU KTK HALI HII SI RAHISI KWA ALHAJ MWINYI KUMCHUNGUZA MTANGULIZI WAKE NA KUMUANIKA HADAHARANI,YEYE NAYE PIA ALIRITHI HILO VIVYO HIVYO MKAPA NA SASA TUNAMTAKA JK AANZE MAGEUZI HAYA KWA KUMSHUGHULIKIA MKAPA!! NI WAZO ZURI SANA LAKINI TIMING IMEPOTOKA,HAWA NI WASHINDANI 1995 NA MKAPA AKAIBUKA MSHINDI KWA NGUVU YA MWALIMU ,TUNAFAHAMU MZEE ALLY ANGELIULIZWA NA MWALIMU PALE AMPE NANI ILIKUWA NI JK NA HILO ALILITHIBISHA MARA BAADA YA USHINDI WA MWALIMU VIA BEN,M/KITI ALIMUOMBA MKAPA MBELE YA WAJUMBE WOTE WA MKUTANO MKUU,"ndg Benjamini William Mkapa,mgombea wa CCM,nakupongeza kwa ushindi na nina amini utashinda,ninakuomba usiwaache vijana hawa Edward Lowasa na Jakaya Kikwete,ni vijana wazuri na wachapa kazi,wamenisaidia sana"IPITIENI ILE VIDEO YA CHIMWAGA 1995,HILO NDILO JIBU LA KWANINI LOWASA ALIREJESHWA KTK BARAZA LA MAWAZIRI1997,HUENDA NI KWELI MWALIMU ALISHANGAA LOWASA KURUDI BARAZANI LAKINI NI HEKIMA ILEILE ALIYOITUMIA MWINYI KWAKE NA MKAPA AKAITIMILIZA KTK WAKATI MUAFAKA,NAITOA PICHA HII KWENU WAKUU WOTE WANA JF ILI TUMTIZAME RAIS WETU NA CHANGAMOTO ZINAZOMKABILI, BINAFSI NINACHOWEZA KUSHAURI NI YEYE KUJITOFAUTISHA NA WATANGULIZI WAKE KWA KUIJENGA NCHI YENYE TUMAINI ALILOLIANZISHA KWETU SI KWA KISASI WALA KUWASAKAMA WALIOMTANGULIA BALI NI KUTOMPATIA NAFASI MRITHI WAKE YA KUMNANGA KAMA INAVYOFANYIKA KWA MKAPA SASA LICHA YA KUWA JK ANAJARIBU KUJITENGA SANA NA TAARIFA HIZI ZINAZOMLENGA MKAPA KWA SASA,JEMA NI YEYE KUTOJIJENGEA HALI HII 2015 ANAPOIACHA NCHI,NAWASILISHA.
 
unless your idea of rule of law ni kwamba mtu akiruhusu madawa yasiyofaa apigwe shaba.


Inthe wake of mafisadi bongo I will take anything bro, lakini sio kujiuzulu na kuendelea kuwa mbunge na member wa CC, kule China mawili, risasi au miaka 18, that is the rule of law na tunaiihitaji sana bongo hiyo!
 
Whether we like it or not, utawala wa sheria hauna substitute. Never. Ndo maana ukiangalia sana nchi za magharibi wameendelea na watazidi kusonga mbele kwa sababu serikali zimejiwekea majukumu mawili makubwa: kukusanya kodi na ku-enforce sheria! The rest ni wewe na mimi. Binadamu ni kiumbe korofi sana. Hata US au Europe, sio kwamba raia wake wana akili kuliko sisi..ila mjomba, wanajua sheria ni Biblia. China wameshaligundua hilo, ndo maana, leo kukwepa kodi China ni sawa sawa na kuua! obviously we cant walk fast than the music, but we have to start from somehwere!

I can assure you, ikitokea Africa/Tanzania tukapata kiongozi mwenye kulielewa hili na kulifanyia kazi kwa dhati: Basi safari ya kuelekea nchi ya ahadi itakuwa imeanza officially. Kwa sasa bado tunapiga round about kwenye jangwa kama wana wa Israeli na Musa.

Maendeleo ya Africa lies within ourselves. Wala hatuhitaji $$ of billions za G8 au wengine, we need self reflection and DISCIPLINE so that we can get our priorities right! I might be wrong, but thats my conviction, bila rule of law, we are headed no where!


Mkuu, nilitaka niweke "thanks" kama mia hivi kwenye post yako hii, lakini kumbe haiwezekani. Kwangu mimi hii ni summary ya mambo yote tunayojadili humu, ngoja niifadhi somewhere for future use katika mapambano. Ahsante sana mkuu.
 
Ndo maana wakati mwingine naamini Africa iko siku tuta-realise dream yetu ya kuendelea hata kama si sisi ila vizazi vijavyo. Kwa sababu siyo vigumu as we tend to think and believe. Ni few elements kwenye nafasi za maamuzi tuu zinatufanyia huu ujinga... Tanzania can be a powerhouse..why not? We need no miracles, we need no $$ of billions of debts, we just need our determination and resolve to build a more uquatable and prosperous societies.

This calls for painful sacrifices kwa WATANZANIA WOTE... Labda mnaosoma mambo ya humanities mnaweza kuanalyse ni kiasi gani cha pesa na resources kinakuwa wasted through grand corruption and other means especially in Africa.(jiulize Waziri-Full Cabinet Minister.. anaenda kufungua zahanati ya $$50,000 ambayo imejengwa kwa msaada wa "donors", au kushuhudia ufunguzi wa kisima cha maji Mkuranga cha $$15,000 kilichojengwa na "NGO" ya Sweden! wakati dereva anamsubiri nje kwenye VX ya Million mia moja au $$120,000!!!!! Hiyo ni akili ni tope????? Where are our priorities my fellow citizens??? Ok you cant root out corruption completely, but what would have happened kama watu kama akina Lowassa, Karamagi, now Chenge et al....wangepewa DUE PROCESS OF THE LAW???? I tell you, siyo watanzania wote kwamba ni wala rushwa, ni few characters WHO HAPPEN TO BE INFLUENTIAL AND WITH AUTHORITIES If we deal with them, tutafanikiwa. How do we do it? ndo swala kubwa tunalostahili kujadili! Ila mchawi wetu anajulikana tayari.

Siku tuki-realize na kuappreciate kwamba: Western countries have no obligation to help Africa, that we are masters of our own destiny and that everybody should be responsible and accountable for his/her actions, Africa will never be the same again.

My strong conviction is: Incompetency, selfishness, Corruption and IMPUNITY ndo tatizo kubwa la nchi yetu. If you deal with these vices, the rest will conform! Though DEALING WITH IMPUNITY WILL ADRESS THE REST..be it wazembe maofisini, rushwa and on an on...
 
Tanzania itafikia huko baada ya miaka 100 ijayo

Hapana muungwana. Just believe that another Tanzania is possible (and start working hard to achieve it), Tanzania free of poverty, diseases, corruption etc. Its for you and me who are enjoying the wonders of globalization that we should tell our people to believe and use their vote to make changes. While me and you seriously reflecting whether we are prepared to take up the challenge from wananchi which is TRUST! Hakuna kitu rahisi, ugumu wa safari ni kuianza. Watanzania hatujaianza GENUINELY safari ya kuyatafuta maendeleo. Ila tunahitaji kubadili atitude. Sio kwamba waafrica we were condemned to be poor and outcast, kuwa wabeba box tuu, we can also be good CEOs, Managers etc!!. We can overcome. Do we need fifty years to prosecute graft and corrupt folks like Lowassa? I dont think so. Where there is will there is a way. Thats why I say My president lacks WILL to genuinely adress our problems. Together we can!
 
Wakulu, Masanja amesema maneno mazito sana hapo juu.... Naona pia mifano mingi imeelekea China, kuna kanchi hapa EAC kanaitwa Rwanda. Hapa najua mengi yatasemwa lakini tuache matatizo yao yote na kuangalia namna wanavy deal na corrupt people. Sina post/clip to support my argument lakininitatafuta kisha nitaleta barazani. Kikubwa ni kwamba mwaka jana kulikuwa na haya:

1. Lt Col aliyekuwa Peace Keeping operations alikuwa demoted for doing some crap in his mission akashushwa cheo kisha akafungwa for a year

2. Magari ya fahari ya serikali yalipigwa mnada mwaka jana sometimes sababu yalikuwa a burden to the Govt
3. Kujitoa kwenye Francophone and join (request to join Commonwealth). Ukiangalia kwa ndani zaidi hii iliamualiwa with a long term target ikiwemo pia kuingia kwenye EAC block...... Kwa nini, Rwanda ni nchi ndogo sana mabpo watu wake wote wakirudi nyumbani ardhi haiwatoshi, so what you do unaangalia ni wapi utakuwa na win-win situation (Commonwealth then EAC)... Do you see the plan here??

Ni my two cents kuwa kwa kweli Tz tumelala na ni waoga wa kufanya changes............
 
Mkuu wangu hatuta kata tamaa, juzi hapa JF tulianzisha moto kwa Chenge, sasa he is on his way out no question or buts about it, Sophia Simba ninamuaminia sana, tena sana, Chenge hawezi pona hii,

Ukisoma Biblia, au vitabu vya zamani vya historia za kifalme, utaona kwamba ni mara nyingi mataifa yalikuwa na viongozi wabovu kwa muda mrefu sana, lakini once in a while, alitokea kiongozi mmoja shujaa na kufuata utawala wa sheria na haki, na niamini ndugu yangu, it takes only six months kuuua nguzo zote za uchafu wa zamani au kama kwetu wa miaka 45 iliyopita,

Ninaaamini kuwa the day is coming Tanzania, tena soon, na sisi JF tutaiona! Yaaani suku ya haki na sheria ya kweli!
 
Mkuu wangu hatuta kata tamaa
Ukisoma Biblia, au vitabu vya zamani vya historia za kifalme, utaona kwamba ni mara nyingi mataifa yalikuwa na viongozi wabovu kwa muda mrefu sana, lakini once in a while, alitokea kiongozi mmoja shujaa na kufuata utawala wa sheria na haki, na niamini ndugu yangu, it takes only six months kuuua nguzo zote za uchafu wa zamani au kama kwetu wa miaka 45 iliyopita,

Ninaaamini kuwa the day is coming Tanzania, tena soon, na sisi JF tutaiona! Yaaani suku ya haki na sheria ya kweli!

Ni kweli kabisa manbo yanavyoenda sasa bongo hayajawahi tokea tangu tupate Uhuru.
Mafisadi walikuwepo toka enzi hizo lakini walikumbatiwa na system lakini sasa saystem inawatoa hadharani.

Watu wamechota kuliko hata Chenge lakini nani aliweza kudiriki kuwapa ruksa wachunguzwe?Enzi hizo zilikuwa Kremlin they were untouchables but now they are vulnerable tks to JK...MUNGU IBARIKI TANZANIA tutafika it is just matter of time
 
Huko hatutafika, watanzania maneno mengi sana, mmewahii kuona mbwa koko jinsi anavyobweka kamkia kakakunja nyuma,na hatutapata haki zetu, kila kukicha tutamlilia Mungu tu, na God he don't like a full ,tubadilike Watanzania.
 
swali ni jee,na sisi tuanzie wapi kubadilisha mambo kama wana jamboforums? maana tunajua vizuri sana what is good for our country.
 
Back
Top Bottom