mtoa mada bado cjakuelewa......Hembu angalia na utafakari tena huu upuuzi wa Masoud Kipanya!
View attachment 46250
Na babu wa Loliondo amenukuliwa akisema muda si mrefu ataoteshwa kwahiyo Watanzania kaeni mkao wakuponywa!
Hembu angalia na utafakari tena huu upuuzi wa Masoud Kipanya!
View attachment 46250
kati ya masoud kipanya na wewe mleta uzi nani mpuuzi? Naamini mleta uzi ni mpuuzi zaidi
mtoa thrd lazima atakuwa katoka usingizini akaamua kuandika bila kupiga mswaki au ana bif binafsi na kipanya. Nimetizama sana catoon ya kipanya sijaona upuuzi wake kbs! Ila wanasemaga ukizoea nguo za mitumba hata mtu akivaa ya dukani utahisi ni mtumba tu! Kuna mtu kazoea mambo ya ovyo ovyo na kipuuzi puuzi hapo.
Mtoa thrd lazima atakuwa katoka usingizini akaamua kuandika bila kupiga mswaki au ana bif binafsi na Kipanya. Nimetizama sana catoon ya kipanya sijaona upuuzi wake kbs! Ila wanasemaga ukizoea nguo za mitumba hata mtu akivaa ya dukani utahisi ni mtumba tu! Kuna mtu kazoea mambo ya ovyo ovyo na kipuuzi puuzi hapo.
Bila kufikiri sana utaishia kutukana tu! Zama ndani zaidi ya kuwa ukingoni.