Ona picha ya mbwa aliekamatwa MOSHI kwenye bar moja akiwa tayari kwa ajili ya MISHKAKI na SUPU

Sheria itamhusu hasa ya public health. Nyama zote zinazouzwa inabidi zikaguliwe kuhakikisha ni salama kwa afya na kugongwa muhuri na bwana afya. Sidhani kama alifanya hivyo, so kama ni kweli he is in for it.

Ila sijaamini, bar gani ya moshi chafu hivyo? So shabby unlike moshi banaa!!
Disclaimer: mimi sio mchaga
Jamaa hawawezi kuchukuliwa hatua hadi ithibitike hiyo nyama ina madhara kiafya kwa watumiaji, hapo ndipo nnapoichukia sheria ya tz.. Juzijuzi kuna mshenzi mmoja huku singida alikamatwa ikiwa ndio biashara yake kuuza nyama ya wooh woooh si akaachiwa kiulaiini eti kisa haikuwa na madhara kiafya
 
sijui ni uzuri au ubaya, nyama ya mbwa huwa laini sana afu haina shombo kabisa.

Kama wanajua ku-marinate vizuri, nyama choma moja safi sana.

Mahotelini tunakula mengi mno, as long as hatufi ya nini kununa.
Afterall resources zinazidi kupungua

Konnie nasikia hii kitu ni shomboless...

Bro/sisy kwa iyo wewe as long as kitu ukila haufi...basi mpango mzima sio??
 
BLOG%2BSIX.jpg


Mimi nilifikiri yanayoandikwa katika hivi Vikatuni ni maneno ya uongo kumbe ni maneno ya ukweli hayo na yanatokea Mijini? Ehh ama kweli kasheshe kweli bongo yetu.
 
Kuna mtu alishawahi kuniambia kama ushawahi kula mishkaki hapa tanzania una asilimia zaidi ya 90 kwamba umekula mbwa,paka,nyani,komba etc
 
Aisee hii ni mbaya sana. Jamaa wachukuliwe hatua kali za kisheria.

Haahaahaa;-). Jamani hizi sheria za kuchukuliwa hapa inabidi ziangalie utashi wa wateja pia! Yaweza kuwa wateja walikuwa wanaifurahia mboga hii ya Mbwa:).
 
Dogi ni mtamu sana ndio maana ukienda Moshi ukinywa supu ya Mbuzi lazima ukasimulie ...

kitu inaitwa supu ya mbuzi afu hata harufu ya mbuzi hamna....e bana ee mm nnajua kitu cha ya mbuzi inakua na harufu kinoma!
 
Haahaahaa;-). Jamani hizi sheria za kuchukuliwa hapa inabidi ziangalie utashi wa wateja pia! Yaweza kuwa wateja walikuwa wanaifurahia mboga hii ya Mbwa:).

teheee...labda wateja wamuwekee mdhamana!
 
BLOG%2BSIX.jpg


Mimi nilifikiri yanayoandikwa katika hivi Vikatuni ni maneno ya uongo kumbe ni maneno ya ukweli hayo na yanatokea Mijini? Ehh ama kweli kasheshe kweli bongo yetu.

duh kaka umejipanga...fulu maushahidi hayo...si unajua katuni huwa haikosei...hapo msanii alitaka kufikisha ujumbe kwa jamii...kazi kwetu sasa km tunapuuzia katuni...
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom