Ruge anatumia muda mwingi sana kuwapa airtime wasanii kwasasa akiwemo kalapina (kikosi cha mizinga) aili wamponde sugu,kalapina anasema yeye ndio muhasisi wa hip hop tanzania na sio sugu.Hadi sasa tayari watu 41,000 washakata tiketi kwa ajili ya show ya sugu.
Ruge anatumia muda mwingi sana kuwapa airtime wasanii kwasasa akiwemo kalapina (kikosi cha mizinga) aili wamponde sugu,kalapina anasema yeye ndio muhasisi wa hip hop tanzania na sio sugu.Hadi sasa tayari watu 41,000 washakata tiketi kwa ajili ya show ya sugu.
tiketi zinapatikana wapi hapa dar? mia
aisee natamni nikurupuke dom leo nije huko dar kesho kuenjoy ma antivirus, mweeeee! mbona mwafaidi peke yenuuuuuuuuuuuu!