si umemuona dogo jinsi anavyopuliza..haha hhhaa. Washawasha
Siyo nzuri hata kama hataki la mama basi akamuliwe apewe. Akilete ujinga unachapa hutwo tu miguu anatia akili mwenyewe. Hivi mtoto mdogo kama huyo anaweza kuwaendesha wazazi wenye akili timamu? Nafikiri wazazi tuwe smart na determined. Excuse me guys!
Huyu Mtoto atakuwa balaa hadi ktk kunyonya mambo yetu yalee.