mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
Mkuu vipi tena mbona unataka kukaba Uhuru wa mawazo?
huyu bwana ameonyesha wasiwasi. kuna mwaswali muhimu mkuu
Mkuu vipi tena mbona unataka kukaba Uhuru wa mawazo?
nawashangaa sana wenye dhamana na haya mambo! wanashindwa kuwa na legitimacy katika hili. tumenunua ving'amzi, ili vingamue, suala la kuuziwa antena ni la nini? wametoa antena za ndani, hazikamati..
wametufanya wajinga sana. wanatufanyia biashara kuuza bidhaa zao, kama ni antena king'amuzi tumenunua, iweje tununue antenna za nje na milingoti? technojia ipi hapo mnayosema. hamuoni mmeshindwa kurusha mawimbi?
huyu bwana ameonyesha wasiwasi. kuna mwaswali muhimu mkuu
Nelly G. Mushi Kutoka Moshi: Huu mfumo ni mzuri ila kitolewe king'amuzi kimoja kitakachoonyesha channel zote za Tz..then cost iwe chini; maana ving'amuzi vingine badala ya kuonyesha chanel za maana wanatuonyesha vikatuni tu
Elia Ramadhan wa Zanzibar: Nauliza kuhusu hivi ving'amuzi kweli hadi Decembar vitafanya kazi kwa ufanisi? Kwani vinasumbua sana, mimi naona kama ni ubabaishaji, pia mtanzania wa chini atamudu gharama?
Na star time hapa Zanzibar ipo hoi ktk frequency
Thabiti Seleman Kutoka Songea: Nauliza huu mfumo wa digital unaanza lini kutumika? Na ivyo ving'amuzi vinapatika wapi? Na bei gani?.