makundi4619
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 486
- 141
Bwana Yahya Mohmed,
Ushauri wangu ni kuwa jambo hili linahitaji mjadala mrefu na wa kutosha kwahiyo ni bora mkatenga muda maalum hata wa masaa 3 na kualika wadau wote ili watu watoe mawazo yao na kuelezea duku duku zilizoko moyoni mwao.
Mwisho Nape atueleze ni kwanini rais wa nchi mpaka leo yuko kimya kanakwamba hili tukio ni jambo dogo. Pili Nape tueleze ni kwanini mpaka leo hakuna aliekamatwa.
Naamuliza kwasababu yeye ni kiongozi wa chaman na ndo kimeshika dola. Chama kama chama kimeshauri nini serikali juu ya hatua za kuchukua. CCM ikishauri ina nafasi kubwa ya kusikilizwa ila kama mmekaa kimya basi hiyo ni ajenda ya chama na serilkali yenu.
Nape tuambie nani anaua, ni CHADEMA au polisi?
Ni kwanini mauaji yanatokea pale tu polisi wanapovamia.
Mjiulize, mbona maanadamano ya waislamu yalikuwa salama licha ya kuwa hayakuwa na kibali?
Yaani maelezo yako ni bomba sana. Magamba wote wapate nakala ya hoja zako labda watakurupuka kwenye huo usingizi wa pono!! Nchi inakwenda na maji wao wanavuta usingizi tuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!