Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Yule msela wa Dar aongeze ukali kidogo,,,anayesupport maasi ya CCM hana rafiki,,,
Chanel ten + Star tv + ITV+ Mlimani TV + EATV + BBC + DW + VOA + DTV+ ATN vs TBC = ????
TBC sasa hivi haina tofauti na vijarida viawandikavyo akina Diamond na Sepetu, au kipande cha gazeti ambacho wavuta tumbaku hutumia, au hata vipande ambavyo watu wa vijijini hutumia badala ya toilet paper.
Mlimani TV hawana coverage kubwa na bado CCM wanaweza ingiza mikono.
EATV watawamaliza TBC kwa ze comedy+musics .
ATN mpira na upande wa pili CCM hawawezi wapeleka wazee wa dar kwani si unajua wale jamaa wana vivua vile vikofia.ITV kile kipindi cha dkk 45 si interactive na kimekaa sana kama vile mtangazaji kakaribishwa nyumbani kwa mshiriki, Ila akisimama Masako magamba hutamani nchi ipasuke,utadhani wameingia ktk interview wakitokea disco.
Hao akina BBC + wengine ndio kabisa hawafagilii CCM tangu enzi, wanahitaji nchi kwa umuhimu wake kwa hii kanda na inabidi fanya kazi na ccm kwa convenience tuu.
CCM na polisi wamejenga perfect environment habari zao mbaya kwa upande wa raia ziripotiwe vivuri sana wakati zao za kupiga zikiandikwa bila mvuto au kupewa kakurasa kadogo sana kam zi kufichwa ndani.