dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,115
- 49,355
Hiyo sauti ni ya Mbunge, nadhani wengi mmeshajua nani! Kajiita nani vile? Hahahaha
Ha ha ha ha ha! Sauti ilikuwa obvious Mkuu. Kajiita Zahra kutoka Morogoro. Hawa jamaa uongo ni jadi yao; wanasahau pia uongo ni miongoni mwa mambo yanayohatarisha amani ya nchi yetu tena unashika nafasi ya juu.
Bila aibu mtu mkubwa kama yeye anaingiza uongo katika mijadala ya kawaida kabisa. In short, aliyejiita Zahra ni miongoni mwa wenyeviti kule mjengoni na ingeshangaza kama angeongea kinyume na aliyoyaongea.