KV LONDON
JF-Expert Member
- Jul 18, 2012
- 903
- 241
Kauli hii ya tunaenda kwenye vita ya tundu lissu ina maana gani..?
Ni kuwa wamejiandaa kwa hili..? Wamejiandaa na kupima madhara yatakayotokana na hilo...!
Watu hawa ni lazima kuwa nao makini sana...!
kwahiyo hukumwelewa au ushabiki ndo unakupumbaza'