Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
Habari za Asubuhi Wakuu,
Jumapili ya leo tutaangazia kuhusu GHARAMA ZA KUENDESHA VYAMA VYA SIASA NA RUSHWA KATIKA SIASA NCHINI TANZANIA. Mswaada huu uliwasilishwa na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba katika Kongamano la vyama vya Siasa Oktoba 16, 2008.
Tutajadili maaudhui katika waraka huo sambamba na matumiziya rushwa katika chaguzi ndani ya vyama vya siasa na majaaliwa ya Demokrasia Nchini Tanzania.
Wageni:
Prof Ibrahim Lipumba - MKITI CUF
Bw.James Mbatia - MKITI NCCR Mageuzi
Mwanza atakuwepo Mzee Emmanuel Rutalaka
Karibuni Katika Mjadala
NB: Tutahadhari na maswali yanayokinzana na shughuli za Uchaguzi leo
Jumapili ya leo tutaangazia kuhusu GHARAMA ZA KUENDESHA VYAMA VYA SIASA NA RUSHWA KATIKA SIASA NCHINI TANZANIA. Mswaada huu uliwasilishwa na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba katika Kongamano la vyama vya Siasa Oktoba 16, 2008.
Tutajadili maaudhui katika waraka huo sambamba na matumiziya rushwa katika chaguzi ndani ya vyama vya siasa na majaaliwa ya Demokrasia Nchini Tanzania.
Wageni:
Prof Ibrahim Lipumba - MKITI CUF
Bw.James Mbatia - MKITI NCCR Mageuzi
Mwanza atakuwepo Mzee Emmanuel Rutalaka
Karibuni Katika Mjadala
NB: Tutahadhari na maswali yanayokinzana na shughuli za Uchaguzi leo