Wamtaa huu
Senior Member
- Jan 21, 2011
- 168
- 55
Mada inawahusu vijana lakini kuna mgeni mzee wa miaka 51! Kwa ushauri sawa lakini kwamba na yeye ni kijana hapana!
Mada inawahusu vijana lakini kuna mgeni mzee wa miaka 51!Kwa ushauri sawa lakini kwamba na yeye ni kijana hapana!
Wamaanisha William sio?Mada inawahusu vijana lakini kuna mgeni mzee wa miaka 51! Kwa ushauri sawa lakini kwamba na yeye ni kijana hapana!
Mmesikia majibu ya le MUTUZ kuhusu JF
Hahaha, tumemsikia. Hata kuongelea inakuwa haipendezi hahaha,,, JF inamilikiwa na kampuni hii:Mmesikia majibu ya le MUTUZ kuhusu JF
William kwa pumba nimemnyooshea mikono.
Wamaanisha William sio?
Mmesikia majibu ya le MUTUZ kuhusu JF
Wamiliki wenzake wepi? Details za Palvos Group ukizisoma zina Directors WAWILI TU. Sasa kujibizana na mwanasiasa kwa mambo yasiyo ya kisiasa ni kuingia kwenye mtego uleule. Sidhani kila jambo linahitaji propaganda au kuingiza siasa.Hivi mkuu kauli hii ya William kuwa tofauti ya kiitikadi kati yake na wamiliki wenzake ndiyo sababu ya yeye kujitoa JF huwa mnaielewaje?
Wamaanisha William sio?
Nami nimeshangaa kama alikua baharia miaka 6,ameishi marekani miaka zaidi ya 20+kusoma Ubeljiji+shule ya msingi+sekondary+jkt n.k.Basi huyu ni kijana wa vijana!Wamaanisha William sio?
Hahaha, tumemsikia. Hata kuongelea inakuwa haipendezi hahaha,,, JF inamilikiwa na kampuni hii:
Ana shares kampuni ya Palvos Group?
Msamehe, ndo siasa