MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
- Thread starter
- #301
limbwata ni kachumbali ya mapenzi mbo huaji kula chips bila sources weweee
Abe!!......................dah!
limbwata ni kachumbali ya mapenzi mbo huaji kula chips bila sources weweee
ni wapi huko dena nikaribishe basi nimeshakuwa mgeni humu sasa
habari yake Limbwata la ulimi?.......habari yake inspecteee.....inspector anakusalimu.HAhaahah Babu yangu masikini wazeeka vibaya weye............Thought tumeafikiana iwe limbwata ni nyama ya ulimi (Babu The Finest ameahidi kuanzisha thread juu ya hii na kutoa training ya limbwata la nyama ya ulimi)
Sasa hapo itategemea la nani kali loh.............. ama sivyo watakushikia dampo
Hapa sasa pagumu......nitamlimbwatua mbona!!
Hahahahah Bi Tausi si umeona walivyoruka??.........Ila naamini wangesikia Linawekwa kupitia T........ wengi wangefanya applications kabisa ah
Sio vzuri mwayego
Hahahahah Bi Tausi si umeona walivyoruka??.........Ila naamini wangesikia Linawekwa kupitia T........ wengi wangefanya applications kabisa ah
Sio vzuri mwayego
he! MJ1 Wewe?! apo juu umesemaje?
Hahaaaaaaaaaaaaaaa..........natoa kutu kaizerhe! MJ1 Wewe?! apo juu umesemaje?
kwa mtaji huu, wallah mi ningeomba dozi kabisa ya limbwata mnipatie,
4, 4, 2 !!!!asubuhi , mchana na jioni!!!!!!!!