On Ndulu: The "Guardian" must be kidding me!

Let me ask you.. nyumba aliyokuwa anapangiwa kwa karibu dola elfu nane (nusu ya mshahara wake) ilikuwa ni ya kimaskini kiasi gani? Je kuna nyumba yoyote ya "maana" kwenye Jiji la Dar ambayo mtu anaweza kupanga kwa dola 3000 hadi 5000? Je nyumba yake aliyokuwa anaishi yeye mwenyewe siyo ya "hadhi yake" (ukisema hapa tunauliza kwanini aliijenga sasa!?)

Hivi unaamini ingekuwa ni fedha zake mwenyewe (kutoka mfukoni) angetumia kujenga nyumba ya kiasi hicho inayogharimu mamilioni mengine kila mwizi kuihudumia? Kama hamuamini na mnaona anaistahili, muuzieni na muulize kama atakuwa tayari kuinunua iwe yake; mwambie agharimie malipo yote kwa vile anaistahili!
.

Mzee Mwanakijiji, nyumba ya 1.4 Biliion ni nyumba ya Gavana, siyo nyumba ya Ndulu. Kila kitu kilipangwa kabla ya ujio wake.

Nyumba anayokaa ni nyumba ya Benno Ndulu siyo ya gavana, sasa maadam imetokea gavana ndie Benno Ndulu, mwache akae nyumba ya stahiki yake.

Kwa walio dar, si mnapajua pale kwa JK, piteni muune, nini bilioni 1.4!, majirani wamehamishwa hekalu linateremka, si JK yule yule aliyeishi hapo miaka yote?, why now?.

Kama kuna nyumba za mpaka bilioni 10 ila kwa vile ni za wahindi, hao hao wanaoendesha serikali kwa remote, hizo ni hizo hizo top up za rada, gulf stream etc, hatusemi, lakini akijengewa mwenzetu!.

Mtu wa kwanza kuendesha Ferari bongo Bongo ni mhindi, wa pili mwarabu, mswahili bado sijaona na akitokea ataitwa fisadi.

Nasisitiza siungi mkono matumizi yoyote mabaya ya fedha za umma, bali siungi mkono shutuma kwa matumizi yanayoonekana, japo mabaya, huku tuko kimya kwa mabilioni na mabilioni yanatumiwa kwa vitu visivyoonekana.

Pale kwa gavana, si angalau jengo lipo, nimewaambia kila safari moja ya mkulu, zinatumika zaidi ya hizo, kipi kinaonekana?.

Tumemlipa Prof. De Sotto, consultancy ya Dola, 1,000,000 kwa siku moja iliyokuja nchini, tunawalipa wangapi kwa huduma kama hiza and what do we get there after? Si afadhali hapo jengo la hadhi ya gavana lipo?.
 
I think the man himself (Prof Benno Ndulu) ameiandika hiyo habari na kumpa editor(pamoja na kitu kidogo) aipost ili kuclear his name!! Mtu mwenye akili zake anaejua uchungu wa maisha na ugumu wa kutafuta hawezi kuandika porojo kama izo!
 
PASCO
Unaposema kwamba nyumba ya speaker wa bunge inalipiwa milioni kumi halafu unataka kumfananisha na gavana wa bank sioni mantiki ya hoja yako mkuu.
Spika ni mkuu wa mhimili mmoja wapo kati ya mihimili mitatu ya serikali, hebu niambie Ndulu anatawala au ana govern mhimili gani??
Msitetee ufujaji wa hela ilhali waalimu hawalipwi malimbikizo yao, shule hazina vitabu wala maktaba seuse maabara, mahospitalini huduma ni mbovu mbali na ukosefu wa dawa. Miundo mbinu ni mibovu ilhali mnashabikia kilimo kwanza pasipo kuboresha miundo mbinu.

Ndulu alikuwa ni msaidizi wa BALALI na anajua michezo yote iliyofanyika na hakuwahi kulalamika hata kwa memo mahala halafu unategemea atakuwa tofauti na bosi wake wa zamani???

Zinduka kaka
 
.

Mzee Mwanakijiji, nyumba ya 1.4 Biliion ni nyumba ya Gavana, siyo nyumba ya Ndulu. Kila kitu kilipangwa kabla ya ujio wake.

Nyumba anayokaa ni nyumba ya Benno Ndulu siyo ya gavana, sasa maadam imetokea gavana ndie Benno Ndulu, mwache akae nyumba ya stahiki yake.

Kwa walio dar, si mnapajua pale kwa JK, piteni muune, nini bilioni 1.4!, majirani wamehamishwa hekalu linateremka, si JK yule yule aliyeishi hapo miaka yote?, why now?.

Kama kuna nyumba za mpaka bilioni 10 ila kwa vile ni za wahindi, hao hao wanaoendesha serikali kwa remote, hizo ni hizo hizo top up za rada, gulf stream etc, hatusemi, lakini akijengewa mwenzetu!.

Mtu wa kwanza kuendesha Ferari bongo Bongo ni mhindi, wa pili mwarabu, mswahili bado sijaona na akitokea ataitwa fisadi.

Nasisitiza siungi mkono matumizi yoyote mabaya ya fedha za umma, bali siungi mkono shutuma kwa matumizi yanayoonekana, japo mabaya, huku tuko kimya kwa mabilioni na mabilioni yanatumiwa kwa vitu visivyoonekana.

Pale kwa gavana, si angalau jengo lipo, nimewaambia kila safari moja ya mkulu, zinatumika zaidi ya hizo, kipi kinaonekana?.

Tumemlipa Prof. De Sotto, consultancy ya Dola, 1,000,000 kwa siku moja iliyokuja nchini, tunawalipa wangapi kwa huduma kama hiza and what do we get there after? Si afadhali hapo jengo la hadhi ya gavana lipo?.
Umeeleweka vizuri sana mkuu!
kwa sisi tulipo kwenye field ya construction tunayajua mengi zaidi...!kuyaongea hapa kwakweli ''tunaogopa''!

lakini SHORT AND CLEAR;bilioni moja IS NOTHING BWANA!.....ukilinganisha na nyumba ya jk ile au mahekalu ya mabosi wangu ''wa-asia''...?billion moja sio pesa
 
download



download


Unfortunately, I have lost the contacts of the Gorvenor and The Guardin editor. Anybody out there who can help on forwading these school photos to them please?
 
Umeeleweka vizuri sana mkuu!
kwa sisi tulipo kwenye field ya construction tunayajua mengi zaidi...!kuyaongea hapa kwakweli ''tunaogopa''!

lakini SHORT AND CLEAR;bilioni moja IS NOTHING BWANA!.....ukilinganisha na nyumba ya jk ile au mahekalu ya mabosi wangu ''wa-asia''...?billion moja sio pesa

It is NOTHING if it is your OWN money, sio pesa za wananchi Geoff! Angejenga kwa pesa zake. Kwanza nani aliwatuma wauze nyumba za serikali? Matokeo yake ndio haya sasa!
 
.


Pale kwa gavana, si angalau jengo lipo, nimewaambia kila safari moja ya mkulu, zinatumika zaidi ya hizo, kipi kinaonekana?.

Tumemlipa Prof. De Sotto, consultancy ya Dola, 1,000,000 kwa siku moja iliyokuja nchini, tunawalipa wangapi kwa huduma kama hiza and what do we get there after? Si afadhali hapo jengo la hadhi ya gavana lipo?.

Sasa mkuu makosa mawili yatalifanyaje moja liwe sahihi. Ni vizuri kukemea na siyo ku-justify kirahisi hivyo. Matumizi yote ya fedha za umma ni vizuri yafanyike kwa uangalifu na kwa kuzingatia hali halisi ya uchumi wa nchi yetu bila kusahau vipaombele vinavyopaswa kuzingatiwa.
 
Mzee mwanakijiji hii hapa ni miradi juu ya miradi hivyo usitoshe ukakapojua utatamani kuzimia maana utakupa watu walio karibu ndio wanapata tender kama hizi hata nyumba hizi hivi kuna ulazima gani kwa pesa zote hizi kupewa mtu mmoja??Hii ni dhambi kubwa sana
 
It is NOTHING if it is your OWN money, sio pesa za wananchi Geoff! Angejenga kwa pesa zake. Kwanza nani aliwatuma wauze nyumba za serikali? Matokeo yake ndio haya sasa!

inaonekana haujang'amua ''ufujaji'' wa pesa za wananchi...UMEUONA KWENYE HILI TU!ambalo wataalamu wanaweza ku-justfy TENA SOOOO EASILY!lol
 
inaonekana haujang'amua ''ufujaji'' wa pesa za wananchi...UMEUONA KWENYE HILI TU!ambalo wataalamu wanaweza ku-justfy TENA SOOOO EASILY!lol

Najua yapo mengi yanayoendelea nyuma ya pazia, ndio maana hakua maendeleo. Lakini bado nasisitiza, kama matumizi yenyewe ndio hayo basi hatutafika popote, au ndio maana tuko hapa tulipo.

Two wrongs does not make it right! Tuendelee kukemea!
 
We say the said expenditure was a pretext because available evidence indicates that, based on the annual rent of 113 million/- BoT had been paying for the governor's accommodation in rented premises[/COLOR][/SIZE][/FONT] (u must be kidding me.. renting for abt 7800USD a month, where was this Heaven? with a salary of about 15,000USD a month!!!?? M.M), the expenditure of 1.4 billion/- for the official residence represents a payback period of 12 years while also affording the bank an official residence befitting its CEO's status(F@##K the status!).


My Take:
why don't they advice the BoT to buy him (the governor) a Gulfstream 500 too and lease him a luxury boat in the name of whatever reason they have to justify the 2 houses!?
Hili suala la nyumba ya governor wa bot lisichukuliwe kishabiki na si kwa guardian tu hata kwa wana JF
 
MM,
I think if Ndulu and any other learned person who thinks between the lines of the guardian, there is no doubt that the paper was trying to expose the bank more.

They used the rental they are currently paying (more than 6500USD/month) for justification of a lavish spending on building a house for the governor.

If the governor is so called the learned as the chairman of the board how can he approve the said amount while he is a Tanzanian who grew up in Tanzania and went to school on expense of poor Tanzanians? As an economist he must have thought of spending at most a third of what has been spent now and yet achieve the same quality. How many rooms do he uses to sleep? how many beds can he occupy?

For Tanzania for having a good justification for spending you will be praised. You wonder now that the sea view road has got justification for a gate on the ground of state security, we had Mkapa, Mwinyi and Nyerere in that state house and the road has never had restrictions! Is JK so vulnerabal than all of his predicessors. This will tell you that someone has just justified another squandling of tax payers money on non issue items.

For Ndulu, he should be ashamed by allowing that spending which could not go into any person ear.
It is the same Ndulu who said in public that we will not be hit by economic crunch, yet it is the same Ndulu who devised rescue package of 1 billion dollar, what a great comedian he is?

We just need a sensible person to run BoT.
We want people who should know how much is supposed to be spent on the project and not a person who says how much is being spent now so that I can justify 12 years spending upfront.

This shame for the elite of one of the poorest nations in the world. You will be ashamed to hear that BoT has purchased the LCD projectors at a price if USD15000 per piece (normal LCD projector.

yet it is sensible)......!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hi. This is my 1st showup ningependa kuanza na mjadala huu lakini kabla sija-comment zaidi ningependa wale ambao walikuwa hawajasoma editorial opinions za magazeti haya mawili, alilonukuu M.M na Nipashe la leo, wanaweza kupitia na hii pia halafu watafute Mwanahalisi, Toleo la wiki jana, then tuendelee...

Tumsaidie Gavana BoT asonge mbele


20th January 2010

Benki Kuu yoyote duniani, Benki Kuu ya Tanzania ikiwa mojawapo, ndio moyo wa uchumi wa nchi. Katika nchi yoyote ile, Benki Kuu huendeshwa na watu weledi na wanaoheshimika katika jamii na ndio maana kashfa ya katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ilipoibuliwa ndani ya BoT, umma ulitaharuki, haukuamini kwamba uchafu huo unaweza kulelewa ndani ya taasisi nyeti kama hiyo.

Ni kwa maana hiyo BoT mara zote imekuwa kwenye darubini kali, umma unafuatilia mwenendo wa taasisi hiyo si kwa sababu nyingine yoyote, ila kwa sababu ndiyo roho ya uchumi wao.

Ni katika mazingira hayo, tumeshuhudia hoja mbalimbali kuhusu taasisi hii, mathalani, EPA na majengo pacha, lakini katika hoja hizo pia ipo moja nyepesi ya watu kuhoji uhalali wa Sh. bilioni 1.4 zilizotumika kujenga nyumba ya Gavana wa Benki Kuu.

Kwa mtazamo wetu, na kwa jinsi ujenzi wa nyumba ya gavana ulivyofanywa, tunaungana na wathamini wa majengo waliohitimsha kwamba fedha iliyotumika ni halali kwa sababu vielelezo tulivyo navyo vinathibitisha kuwa BoT imekuwa ikilipa kodi ya Sh. milioni 113 kila mwaka kwa ajili ya makazi ya gavana.

Kwa hiyo, kama hoja hapa ni ughali wa nyumba iliyojengwa kwa maana ya Sh. bilioni 1.4, katika kipindi cha miaka 12 tu, serikali itakuwa imekwisha kurejesha fedha hizo kwa maana ya kutokuendelea kulipia pango kwa ajili ya makazi ya gavana ambayo kwa sasa ni Sh. milioni 113 kwa mwaka.

Kitaalam, uwekezaji katika ujenzi wa majengo marejesho ya gharama hukokotolewa kwa kuzingatia muda wa miaka 20, hivyo kupunguza muda huo hadi miaka 12 ni jambo la kuungwa mkono kabisa.

Ukiacha suala la gharama, nafasi ya Gavana wa Benki Kuu ni nyeti, hupokea ugeni wa aina mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi, lakini pia kuna viwango vya kufanana na nafasi yake kwa ngazi za kimataifa, si busara sana kujenga nyumba almradi ni nyumba. Tunaamini gavana anastahili mahali pa kuishi panapolingana na nafasi na unyeti wa kazi yake.

La muhimu zaidi, haya ni makazi rasmi ya gavana, si nyumba yake binafsi ya kuishi, akitoka leo mwingine anaingia, hii ni nyumba ya gavana wa Benki Kuu si mali binafsi ya gavana aliyeko leo. Huu ni uwekezaji wa kudumu, ni mali ya umma ambayo haihamishwi na yeyote leo au kesho.

Tunaposema haya hatuna maana kwamba kama kuna jambo linaloleta tashwishwi katika machakato mzima wa ujenzi wa nyumba hii, lisizungumziwe au kama linahitaji uchunguzi kwamba eti usifanywe, la hasha! Tunatambua kwamba Tanzania ni nchi inayofuata utawala wa sheria, na kwamba kama hapana budi uchunguzi utafanywa na vyombo vyenye wajibu wa kufanya hivyo ili mwisho wa yote ukweli ujulikane.

Tunachojaribu kusema katika safu hii ni kuukumbusha umma kwamba chini ya gavana wa sasa, Benki Kuu imefanikiwa kujizoa kwenye kina cha tope iliyokuwa imezamishwa. Umma wa Tanzania utashuhudia ukweli huu kwamba kazi aliyofanya gavana wa sasa ni kuirejesha benki hii katika hadhi yake iliyokuwa imepotea.

Ni chini ya gavana huyu walau tumeshuhudia hatua za kweli zikichukuliwa dhidi ya watuhumiwa wote wa taasisi hiyo walioshiriki kwa njia moja au nyingine katika kashfa chafu kama ya EPA na ujenzi wa majengo pacha.

Ni utendaji wake usioyumba umefanikisha kurudisha hadhi ya Benki Kuu kama taasisi yenye dhima ya kusimamia uchumi wa taifa hili, hapana shaka ndiyo maana hata mataifa mengine duniani yalitambua kazi yake ndiyo maana mwaka jana akatangazwa kuwa Gavana wa Mwaka kwa bara la Afrika.

Tunaamini kazi aliyoanza gavana huyu bado ni ngumu na inayostahili kuungwa mkono na wadau mbalimbali, huu si wakati wa kuchokonoana, tunahamasisha wapenda maendeleo wa taifa hili kwa ujumla wao kwanza wampongeze kiongozi huyu kwa kazi nzito aliyokwisha kuifanya hadi sasa, lakini pia tumuunge mkono ili apige hatua kubwa zaidi katika kulinda na kukuza heshima ya taasisi hiyo nyeti.

Katika kipindi kifupi alichoongoza Benki Kuu, Gavana huyu amefanya mambo mengi, akiba ya fedha za kigeni imeongezeka kutoka dola bilioni 2.4 hadi kufikia dola bilioni 3.5; ametuvusha kwa salama wakati wa mtikisiko mkubwa wa kiuchumi duniani wakati taasisi kubwa za fedha za mataifa tajiri zikiyumba; amesaidia kurejesha nidhamu ya manunuzi ndani ya Benki Kuu.

Hatua hizi kwa hakika kwa waliozoea kuendesha mambo ndani ya Benki Kuu kama shamba la bibi hazitawafurahisha, kwa hali hiyo haishangazi kama watakuwa vyanzo vya chokochoko za kumvunja moyo gavana. Tumsaidie asonge mbele.

CHANZO: NIPASHE
 
Kinachosikitisha ni kwamba pamoja na muda kupita say for tafakuri, bado kuna watu wanaamini gavana wa benki Tanzania anastahili na ni halali kujengewa nyumba ya $1, 000,000.00 ( million US dollar). Guyz this is one of the craziest purchase regardless mabadiliko yanayotokea au yaliyotokea Dar. After all the appeal of the house doesn't sound 1 mn. Hivi million dollar mnaifahamu wakuu??????? it is 0.014 % of our total national budget per year.
 
The propensity to dish out some grossly audacious flattery characterized by a complete void of substance on the part of that rag that defiles that rather candid label of journalism under the banner of "The Guardian" not only never ceases to amaze me, but this time takes matter to astronomical, if not cosmonautical proportions.

This cabal of indignation acting as a magnet of mediocrity, hangers-on, out of work mercenaries, half bird brained imbeciled sea urchins, underpaid-overworked semi-literate old farts passing off as false young Turks, omnivorous ombudsmen (almost always men although the occassional Jezebel is hard to miss) and middle life crisis facing invalid impotents with infantile ignominious arguments, amazes me on how it barely manages to pull enough cheap circus-clown like stunts to pay the rent, never mind run the presses.There is a story to tell in this itself.

This infectious green scum-of-the-toilet seat plaguing our so called journalism and detaching it from serious analysis and candid contribution to society, is slowly but surely choking our young republic from achieving lift off and attaining a broader and more picteresque, if not mind opening, horizons.

This chimera of hitherto unknown sommersaults of political progress hindering, chameleon-like ruthless opportunistic and principleless adaptation, is a characteristic of a sickness called inhumanity as manifested through it's symptom of self defecating selfishness.

This timid embroidery usurping journalism, pale in the face of the light of truth, amok with Dickensian stink, squalid with 19th century if not medieval serf-like impunity, and this increasingly grotesquely uncontrollable pattern of blowing the horn for whomsoever has the office and the bullion is not the signature of an educated paper.Far from it, it is the tool of mental subjugation that penetrates slowly from yokel to even amongst the so called gentry.

The rivalry of progress/ reason on the one hand and this savage incipient of omnivorous opportunism, unprincipled at that, on the other, must be openly declared and stated in crystal clear terms.In printing the above abomination, the so called Guardian is neither guarding nor illuminting.It is merely highlighting our lack of a responsible press and the need for JF to forge the fight forward, even more ferociously.
 
We are still doomed at best. Watu wanaanza kuhesabu eti Ferari Tanzania mtu wa kwanza kutumia Mhindi, wa pili Mwarabu, ...... I feel ashamed kuona comments kama hizo. Kwa hiyo mtu unataka kusema kuwa ni halali kwa kuwa wahindi wanakaa kwenye nyumba za bei kubwa???

Kinachosemwa ni kuwa ... Ndulu na watu wengine wenye akili kama zake huko serikalini wajue kuwa serikali wanayoiongoza ni ya watu maskini na hizo hila zinapatikana kwa kuwakamua damu maskini!! Hao wahindi na waarabu na akina Mengi wajenge hata nyumba za billioni Mia moja ni haki yao. Wanatumia fedha zao walizozipata kihalali (kama kweli wanafanya biashara halali lakini hata ikiwa wanafanya biashara haram, their case is different altogether).

Uliyekalia hazina ya watu maskini kwa nini unataka kushindana na Patel na Mengi ambao wanafanya biashara? Ndullu na viongozi wengine wa Taasisi za umma, kama wanataka kuishi kwenye majumba ya kifahari, kuendesha Maferari, kupanda ma personnal jets na kupumzikia kwenye ma-yatch kwa nini wasiende kupambana na adha wanazopambana nazo kina Patel na Kina Mengi huko kwenye private sector. Kwa nini wanang'ang'ania eti stahili zao tu kwa kuwa wao ni viongozi wa taasisi za umma?

Taasisi za umma wa watu maskini kuanzia ikulu inatakiwa zifanane na hali halisi. Hakuna anayesema wasiishi pazuri, lakini hapo walipojenga wanaingia kwenye ligi na Matajiri. Ligi ambayo tunajua watalazimika kuuza nchi ili waweze kushinda. Kwa sababu kama wanalilia kukaa kwenye majumba ya Mabilioni eti kwa sababu wahindi wanafanya hivyo, siku wahindi wa bongo wakinunua private jets gavana naye atanunua. Siku wahindi wakiamua kununua Yatch za kumpuzikia huko baharini si na gavana atasema naye ni stahili yake?

Lazima tuwe na standards zinazolingana na viwango vyetu. Ufisadi wa kupanga nyumba ya dolla 7,800 au nyumba ya millioni kumi Tanzania unatumiwa kuhalalisha ufisadi mwingine ndo maaana tunaishia hapa tulipo: kukosa hata basic infrastructure; viwanja vya ndege viko dilapidated, sasa hivi mvua zinanyesha vijijini hakuendeki, n.k. Tuwe na huruma kwa nchi yetu na watu wake!!
 
PASCO
Unaposema kwamba nyumba ya speaker wa bunge inalipiwa milioni kumi halafu unataka kumfananisha na gavana wa bank sioni mantiki ya hoja yako mkuu.
Spika ni mkuu wa mhimili mmoja wapo kati ya mihimili mitatu ya serikali, hebu niambie Ndulu anatawala au ana govern mhimili gani??
.
Gavana yuko level ya CEO wa makampuni makubwa, si ndio mwenye ile sahihi utakaiona kwenye noti mpya ya Sh. 20,000/=, 50,000/= na 100,000/= zitakazo toka hivi karibuni.

Nini spika, hivi unajua kuna ma CEO wanalipwa kuliko rais wako. Hivi unajua kuna mashirika yana mahekalu, Ikulu ni cha mtoto?.

Nlichosema, kama Spika aliishi nyumba fulani kwa kipindi kirefu, leo kawa Spika, kadai nyumba ya hadhi yake, serikali haina, imempangishia kodi milioni 10 kwa mwezi. Sasa kuna ubaya gani kama BOT wameona nyumba ya hadhi ya gavana wao ni 1.4 Bil.

Angalizo, jamani nyumba sio ya Ndulu, ni nyumba ya gavana.
 
He (author) must be part of this dirty deal in some ways!

Either he has been paid to write such a filthy content to the public.

How can anybody prove that rise of reserve, if not just fabricated data to fool the financial-matter -ignorant-citizens?

Aibu, aibu aibu!...vandals, thieves, scandalous-guinea-pigs!!
People are talking of achievement based on records on the paper work and not tongible goods or services. This is a stupid argument the author is trying to force poor Tanzania to believe.No single development project the Tanzanian Government is financing simply because we dont have cash But the author is telling us there is a recomandale job is being done in that CCM election financier (BoT). Only 70% of crazy Tanzanian Kikwete once quoted saying can believe him (Author).By the way Tshs1.4Bil is the equivalent to 10000 teachers' salary is that a little money? Shit
 
A day before, (Tuesday) the same newspaper had a similar article as its lead (`Experts: Why furore over BoT's residency?) which suggests that the owner of the newspaper must be behind this crap for God knows reasons. Perhaps this kind of campaign will lead to exposing the real Reginald Mengi in the on-going anti-corruption crusade and his real motive in trying to show (read fool) Tanzanians he is a real philanthropists who wines and dines with our top government, religious and army leaders.
 
HILI LI SHE*&ZI NDULU linatufanya watanzania wote mabwege sio..,sasa kufanya kazi kwake WB,IMF alishindwa kujenga miaka yote hiyo?!huyu ni mtanzania kweli?hata waalimu wa sekondari wanajibana wanajenga nyumba zao,itakuwa huyu aliyekuwa WB?

sababu ya kupanga ni nini??at his age 50+ he should have a house.kama hana nyumba hafai kuwa governor.

kukaa nyumba inayocost nusu ya mshahara wake ni matusi kwa watanzania wanaoliwa laki tatu na hata posho ya elf kumi kwa mwezi hawapati!
 
Back
Top Bottom