Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
yaleo kali kachumbari ya ukwaji imekaje hiyo
Mambo ya Kipemba hayo, njoo uonje uusikilizie utamu wake mwenyewe!
yaleo kali kachumbari ya ukwaji imekaje hiyo
...ila sasa wale jamaa lugha zao...wanapochukua order ya mtu ni noma tupu!!nilikwenda na dada zangu pale ilikuwa kituko/vicheko....ndo bongo hiyo tena usanii kila kona.Mambo ya Kipemba hayo, njoo uonje uusikilizie utamu wake mwenyewe!
Una maana Jackies? hicho kilima ndo kwanza nakisikia...
Mambo ya Kipemba hayo, njoo uonje uusikilizie utamu wake mwenyewe!
Inaelekea umekaa kaa kaa kukwiba waume za watu eeh?Miye staki kwenda viwanja shemu nataka kwenda sehemu za kula tuu basi!...hahahaha huyo Shy achana naye na huyo Maxene mume wa ntu...sidhani kama ana hang out usiku....
watu wa majuu bana mikwara miingi.....una bei gani bibie?Ila nataka kujua sehemu nzuri za kwenda ambazo zipo so classic na siyo gehtto......
On your way to AR please nishtue ukifika Moshi mjini!
Moshi wapi na wapi?
Ukifika A-town nambie, coz mi niko kwenye masuala ya camping
Safaris, count a free accomodation at ze camps, achana na watu
wa hizo nyama choma zilizochina kwa mawiki huko Dar! Na kama
ni mlaji wa nyama pori, basi hapa umefika!
PM me soon as possible!
Kwa wale wana JF walioko TZ jamani tutafutane....nitakuwa TZ for a month vacation....
Wale wanaotaka mingle with Kelly01...ni PM with your phone number ila firts week nitakuwa with family and second nitakuwa camping Arusha....then baada ya hapo i will be available...I am craving for nyama choma kwa sana tuu!....
Hollaaaaaaaaaaaaaaaa!......
Dar here i come....yipeeeeeeeeeeee
Kuna sehemu inaitwa jeshini maeneo ya Masaki wanachoma nyama nadhani dunia nzima lazima tukatie fujo pale!
karibu,
gonga hapa
+255774207300
Mkuu hii namba ya kwako au ya shori? Isije ikaleta bifu hapa.
Mkuu hii namba ya kwako au ya shori? Isije ikaleta bifu hapa.
hahahah!iyo yangu bana
we gonga hapo!utanipata
unapanga appointment pale kilima nyege kwa mbele (Jackies) unashangaa limetokea dume la mbegu unyoya umesimama miguuni kama miba ya nungunungu!