Alitumia dawa huyo, mfanyie surprise bila appointment uone atakavyochemsha!
Ni 'in bed' na siyo 'on bed'.
hapana ndivyo alivyo, na kusema ukweli sikulala usiku kucha na hata baada ya kumaliza mchezo nilikuwa nahisi kama naniliu bado ipo ndani ya naniliu, balaaaaaaaaaaaaaaaa hao, msiwachukulie poa hata kidogo kwani wapo wazuri na mambo wanayaweza
jina langu linatosha kukueleza nipo kundi gani...
mito, ina maana kundi la nne hata hizi dawa zetu sa asili za kuongeza nguvu za kiume kama MZAKARU, ZOKA, FARU, MKUYATI, DUME, SHOKA, KAMANYOLA, KAMCHAPE na kadhalika, zote hazifui dafu kweli?
Na jina langu hujaliona?
mkuu inaonekana umekumbana na masahibu mengi sana maishani.Nahisi kuna kundi la tano limesahaulika, wale ambao mpaka wanuse......... ndio wasimame vinginevyo watatambaa usiku kucha