On bed kuna wanaume wa aina nne

Umewasahau hawa
 

Attachments

  • 1444190442972.jpg
    1444190442972.jpg
    12.7 KB · Views: 438
Naturally, kuna wanaume wa aina nne kutegemea na uwezo wao kingono:

1.Kundi la kwanza ni wale ambao wana uwezo mkubwa wa tendo la ndoa, yaani kwao erection is not an issue at all. Ukiolewa na mwanaume wa jinsi hii, jishike kweli kweli maana ni mwendo mdundo. Wanapenda mchezo kila siku, kila wakati hadi sometimes mwanamke anaona kero!

2. Kundi la pili ni la wale wenye uwezo wa wastani. Hawa wanaweza kuvumilia hata kama mtapanga ratiba yenu ya mchezo wenyewe.

3. Kundi la tatu ni la wale wenye uwezo mdogo wa kufanya tendo la ndoa. Hawa wanapata erection ya kuvizia. Wakati mwingine inabidi mwanamke afanyekazi ya ziada ili mzee asimame. Wanaume wengi wa kidhungu wako ktk kundi hili, nadhani wale mliowahi au mpo kwenye mahusiano na wanaume wa kidhungu mtakuwa mashahidi.

4. Kuna la nne ni la wale wasio na uwezo kabisa, yaani si riziki, nadhani wanaeleweka hivyo sina maelezo marefu kuhusu kundi hili.

Ushauri: ni muhimu kumjua mpenzi/mumeo yuko ktk kundi gani ili ujue namna ya kuishi naye vizuri kingono! Hii itasaidia kuepusha lawama na malalamiko ambayo yanatokana na nature.

Samahani kama ni marudio!

Mmmhhhhhhhhhh makubwa
 
Mimi namjua jamaa mmoja alipewa na mmasai, sasa akawa haiyamini vile, si kapiga triple dose! daaah! anakwambia wakati wa hemu hakushuka kifuani mpaka na vidole vyote vikashindikana kukunjwa!!!!!!

Mkuu ile ya wamasai huwa wanakushauri kabisa ule vizuri na kushiba kabla ya kuitumia...huwa inaenda sambamba na supu ya makongoro.
 
mimi ningependa kujua mtoa mada wewe ni wakike au wakiume?? Mada kama hii ilipaswa kuandikwa na mwanamke tena mwenye uzoefu hasa katika ngono, mwanamke ambaye amefanya ngono na wanaume wa kila namna.
 
Wadhungu si mnawaona vinguo wanavyo vivaa, hawaioni sehemu maalum kwa mwanamke ambayo itamfanya asimamishe, hata kwasisi wabongo akina dada wameanza kuiga kuvaa vinguo vya kuonyesha maumbile yao hivyo wanaume weng tunaanza kuona kuwa ni kawaida na miili yetu haistuk sana. Wanawake ndio wanaosababisha wanaume weng kushndwa ku 'erect', nikianza kuzunguka zunguka mjini nakutana na matiti ya aina mbalimbali, mapaja ya aina mbalimbali, vitovu vya aina mbalimbali, migongo ya aina mbali mbali, chupi za rangi mbalimbali. Akina dada wanakuwa km wanatembea uchi kabisa, imefika mahali tumezoea na hatuon ki sehem ipi kwa mwanamke itaweza kunisisimua mpaka nisimamishe?. km hujaelewa nisamehe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom