On a Serious Note: Waziri wa Sheria anapokuwa hajui Katiba!

Wanabodi,

Leo ndio mara yangu ya kwanza kumuona Waziri wetu wa Sheria, Mhe. Selina Kombani akihojiwa live kwenye kipindi cha Jambo, kinachorushwa na TBC-1 asubuhi hii.

Alipokuwa akitetea mamlaka kubwa za rais kwenye utungaji wa katiba, Mhe. Kombani amesema, Tangu kutungwa kwa katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, Tanzania tumekuwa na katiba nyingine5 ambazo zote process ndio hiyo hiyo kwa rais kuwa na mamlaka kubwa hivyo na zote zimesainiwa na rais, kitu ambacho sio kweli.

Mhe. Kombani wakati akizungunzia katiba hizo tano, alimaanisha marekebisho ya matano ya katiba, yaliyofanywa kwenye katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, na sio katiba tano kama alivyoeleza Mhe. Waziri.

Usahihi ni kuwa Ile katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ndio hiyo katiba katiba iliyopo mpaka sasa, licha ya kufanyiwa marekebisho mara 5, marekebisho hayo hayabadilishi katiba na kuwa na katiba tano, katiba inabaki ni ile ile moja ya Mwaka 1977!.

Mhe. Kombani, hakuishia hapo, katika utetezi wake kwa mamlaka ya rais pale aliposema, katiba hizo zote 5, zimesainiwa na rais, kitu ambacho pia sio kweli. Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ilitokana na Bunge la Katiba 'Constituent Assembly' (Japo ni Bunge lile lile la chama kimoja lilijigeuza), ambalo ndilo liliipitisha katiba. Katiba ikishapitishwa na Bunge la Katiba, haisainiwi na rais, rais mwenyewe, anapata mamlaka toka kwenye katiba hiyo, ila kinachosainiwa na rais, ni yale marekebisho ya katiba.

Hivyo mpaka ninapoandika hapa, Waziri wetu wa Sheria, anaamini yuko right kabisa kutoa mamlaka kubwa zile kwa rais katika marekebisho ya katiba, kwa vile anaamini kinachofanyika sasa, ni marekebisho mengine ya katiba ile ile ya Tanzania ya Mwaka 1977 na sio process ya Uuundwaji wa katiba mpya.

Waziri wa Sheria, anajua kuwa ni rais ndiye ameisaini Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, kitu ambacho sio kweli.

Japo sio kosa kubwa kwa mtu wa kawaida kuyaita marekebisho ya katiba kuwa ni katiba nyingine, lakini kwa Waziri wa Sheria, Live kwenye TV ya Taifa, kusema Tumekuwa na katiba 5 baada ya Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ni uthibitisho kuwa tunaye Waziri wa Sheria Asiyejua Katiba.

Wasalaam.

Pasco.

NB.(Somo la Katiba, ndio somo la kwanza kwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa sheria, anapufundishwa 'What is Law?').
Kwa madhumuni ya kuweka sawa rekodi alichosema Waziri Kombani ni kuwa Katiba ya 1977ni Katiba ya tano(ingawa wanazuoni wengine wanasema ni ya nne). Kwa faida ya wenzangu naomba nizitaje:
1. Katiba ya Uhuru ya 1961
2. Katiba ya Jamhuri
3. Katiba ya Muungano ya 1964 ambayo binafsi naamini ilikuwa ni marekebisho ya Katiba ya Jamhuri.
4. Katiba ya Muda ya 1965.
Aidha, ieleweke kuwa Katiba ya Mwaka 1977 imefanyiwa mabadiliko mara 14 tangu kitungwa kwake. Natumia neno Mabadiliko kwani kwa kawaida Katiba hufanyiwa mabadiliko na si marekebisho! Marekebisho hufanywa kwa sheria za kawaida.
 
yaani acha tuu...hata Robert Manumba aliulizwa kwamba katiba ya tanzania inasemaje kuhusu madaraka ya jeshi la polisi ..akajibu kuwa yeye sio mtaalam wa katiba .... najiuliza katiba hii nani anatakiwa aijue...?

LAT imebidi nicheke sana! Ahsante kwa hii nyundo!
 
Wanabodi,

Leo ndio mara yangu ya kwanza kumuona Waziri wetu wa Sheria, Mhe. Selina Kombani akihojiwa live kwenye kipindi cha Jambo, kinachorushwa na TBC-1 asubuhi hii.

Alipokuwa akitetea mamlaka kubwa za rais kwenye utungaji wa katiba, Mhe. Kombani amesema, Tangu kutungwa kwa katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, Tanzania tumekuwa na katiba nyingine5 ambazo zote process ndio hiyo hiyo kwa rais kuwa na mamlaka kubwa hivyo na zote zimesainiwa na rais, kitu ambacho sio kweli.

Mhe. Kombani wakati akizungunzia katiba hizo tano, alimaanisha marekebisho ya matano ya katiba, yaliyofanywa kwenye katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, na sio katiba tano kama alivyoeleza Mhe. Waziri.

Usahihi ni kuwa Ile katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ndio hiyo katiba katiba iliyopo mpaka sasa, licha ya kufanyiwa marekebisho mara 5, marekebisho hayo hayabadilishi katiba na kuwa na katiba tano, katiba inabaki ni ile ile moja ya Mwaka 1977!.

Mhe. Kombani, hakuishia hapo, katika utetezi wake kwa mamlaka ya rais pale aliposema, katiba hizo zote 5, zimesainiwa na rais, kitu ambacho pia sio kweli. Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ilitokana na Bunge la Katiba 'Constituent Assembly' (Japo ni Bunge lile lile la chama kimoja lilijigeuza), ambalo ndilo liliipitisha katiba. Katiba ikishapitishwa na Bunge la Katiba, haisainiwi na rais, rais mwenyewe, anapata mamlaka toka kwenye katiba hiyo, ila kinachosainiwa na rais, ni yale marekebisho ya katiba.

Hivyo mpaka ninapoandika hapa, Waziri wetu wa Sheria, anaamini yuko right kabisa kutoa mamlaka kubwa zile kwa rais katika marekebisho ya katiba, kwa vile anaamini kinachofanyika sasa, ni marekebisho mengine ya katiba ile ile ya Tanzania ya Mwaka 1977 na sio process ya Uuundwaji wa katiba mpya.

Waziri wa Sheria, anajua kuwa ni rais ndiye ameisaini Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, kitu ambacho sio kweli.

Japo sio kosa kubwa kwa mtu wa kawaida kuyaita marekebisho ya katiba kuwa ni katiba nyingine, lakini kwa Waziri wa Sheria, Live kwenye TV ya Taifa, kusema Tumekuwa na katiba 5 baada ya Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ni uthibitisho kuwa tunaye Waziri wa Sheria Asiyejua Katiba.

Wasalaam.

Pasco.

NB.(Somo la Katiba, ndio somo la kwanza kwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa sheria, anapufundishwa 'What is Law?').

Pasco, Nakubaliana na wewe kwa asilimia 99 kwa uliyoyasema, lakini naomba kurekebisha mahali ambapo kama waziri ametamka hivyo basi amepotoka vibaya sana na huyo atakuwa ni waziri wa ajabu. Sijamuona waziri maana niko nje ya nchi, lakini nijuavyo mimi ni kwamba katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 imefanyiwa marekebisho mara 14 na sio mara tano 'kama ambavyo imeandikwa ama waziri kasema'. Wanasheria mnaweza kunisaidia katika hilokatika kuweka sawa ingawa nina uhakika nalo kwa asilimia 100. Marekebisho ya 14 na ya mwisho kwenye katiba ya Jamhuri yalifanyika mwaka 2003 kama sijakosea (niko tayari kusahihishwa katika mwaka) na yalihusu ibara ya 18 (1) na (2) kwa kuondoa 'Drawback clauses" zilizokuwa zinanyang'anya uhuru uliotulewa hapa kwa maneno kuwa ' Bila kuathiri sheria nyingine za nchi, ................". Kwahiyo waziri wa sheria na katiba kudai kuwa katiba imebadilishwa mara tano na kusahau kuwa imewekewa viraka mara 14, kwakweli ni upotishaji mkubwa sana na angepaswa apime uzito wa uongo huo na achukue hatua. Ni aibu kusimamia kitu ambacho kumbe hata wewe mwenyewe hukijui na tena kizito kama katiba. Otherwise Pasco hiyo ndio aina ya mawaziri tulionao na hatuna jinsi zaidi ya kuendelea kuidai katiba kwa nguvu zetu zote na iwe katiba ya watu sio katiba ya kuambiwa jadilini hapa na pale lakini kule msiguse wala kupahoji, hiyo maana yake nini na hiyo itakuwa katiba yetu sisi watanzania ama ni katiba tuliyoletewa na mtu mmoja ama kundi la watu kwa matakwa yao. Ni hayo tu
 
Serikali ya JK bado haijaelewa vizuri msimamo wa watanzania aidha kwa kuwa mbumbumbu au kwa kuwadharau watanzania. Yote yanayotokea katika nchi zingine kama vile Libya, Yemen, Syria wanaona kama vile Tanzania hayawezi kutokea.

Watanzania wameongea kwa kali na ya kusikika hata nje ya mipaka ya Tanzania kuwa wanahitaji katiba MPYA na si viraka. Sasa hawa THUGHS wanaendelea kung'ang'ania kile ambacho watanzania hawataki kusikia.
Kama bado wanajaribu ku-prove hiyo experiment, waendelee lakini watanzania hatutaki kulazimishwa kufanya ambacho hatutaki.
 
Do you really expect anything from that Empty Head Minister of Katiba? Ndiyo Maana jana Wassira alifura kwelikweli
 
Tukiwa chuo "mlimani"tuliwahi kulalamikia uswahiba na ushikaji wa JK serikalini vipofu wa fikra wakatuona hatuna nidhamu japo muhusika alituelewa ndo mana alikaa kimya,matokeo yake ndo haya waziri wa sheria na katiba lakini hana anachofahamu watanzania tufunguke macho-huyu aliwahi kuhamasisha wanawake wawanyime waume wao unyumba ikiwa.....
 
Kuna lawyer jana kaniboa sana STAR TV.......ati Marekani wana katiba ya miaka 250 na hawabadili katiba iweje sisi tubadili yetu yenye miaka 34 tu?

Hivi kichwa chake kitakuwa salama kweli!!!!nina wasi wasi naye.
 
Kwa mlio na access,
Watch TBC sasa, Waziri wa Sheria na Katiba, Mhe. Selina Kombani yuko live hewani, akiutetea Muswada wa Kuunda Tume ya Kukusanya Maoni.

Ameutetea kwa nguvu zake zote huo muswada jinsi ulivyo, ila pia amekubali, kuyapokeo maoni na mapendekezo yote yanayotolewa, ndio maana wametoa nafasi kwa wananchi kutoa maoni.

Update:
Wanabodi,

Leo ndio mara yangu ya kwanza kumuona Waziri wetu wa Sheria, Mhe. Selina Kombani akihojiwa live kwenye kipindi cha Jambo, kinachorushwa na TBC-1 asubuhi hii.

Alipokuwa akitetea mamlaka kubwa za rais kwenye utungaji wa katiba, Mhe. Kombani amesema, Tangu kutungwa kwa katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, Tanzania tumekuwa na katiba nyingine5 ambazo zote process ndio hiyo hiyo kwa rais kuwa na mamlaka kubwa hivyo na zote zimesainiwa na rais, kitu ambacho sio kweli.

Mhe. Kombani wakati akizungunzia katiba hizo tano, alimaanisha marekebisho ya matano ya katiba, yaliyofanywa kwenye katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, na sio katiba tano kama alivyoeleza Mhe. Waziri.

Usahihi ni kuwa Ile katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ndio hiyo katiba katiba iliyopo mpaka sasa, licha ya kufanyiwa marekebisho mara 5, marekebisho hayo hayabadilishi katiba na kuwa na katiba tano, katiba inabaki ni ile ile moja ya Mwaka 1977!.

Mhe. Kombani, hakuishia hapo, katika utetezi wake kwa mamlaka ya rais pale aliposema, katiba hizo zote 5, zimesainiwa na rais, kitu ambacho pia sio kweli. Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ilitokana na Bunge la Katiba 'Constituent Assembly' (Japo ni Bunge lile lile la chama kimoja lilijigeuza), ambalo ndilo liliipitisha katiba. Katiba ikishapitishwa na Bunge la Katiba, haisainiwi na rais, rais mwenyewe, anapata mamlaka toka kwenye katiba hiyo, ila kinachosainiwa na rais, ni yale marekebisho ya katiba.

Hivyo mpaka ninapoandika hapa, Waziri wetu wa Sheria, anaamini yuko right kabisa kutoa mamlaka kubwa zile kwa rais katika marekebisho ya katiba, kwa vile anaamini kinachofanyika sasa, ni marekebisho mengine ya katiba ile ile ya Tanzania ya Mwaka 1977 na sio process ya Uuundwaji wa katiba mpya.

Waziri wa Sheria, anajua kuwa ni rais ndiye ameisaini Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, kitu ambacho sio kweli.

Japo sio kosa kubwa kwa mtu wa kawaida kuyaita marekebisho ya katiba kuwa ni katiba nyingine, lakini kwa Waziri wa Sheria, Live kwenye TV ya Taifa, kusema Tumekuwa na katiba 5 baada ya Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ni uthibitisho kuwa tunaye Waziri wa Sheria Asiyejua Katiba.

Wasalaam.

Pasco.
Huyo hajui kitu! kwanza alikataa ati serikali haina pesa ya kubadili katiba akili yake inatia mgomo! Thamani ya mamilioni inapotea hauwezi kuilinganisha na uozo uliopo, katiba itabadilika kwa nguvu na gharama yoyote!
 
These people really don't get IT! the are incapable of getting it, and they would never get it even if you were to hammer it with a six inches nail in their heads. It is not about them, it is not about cosmetic change; it is about the fact that the people want to exercise their sovereignty by writing a new constitution. I mean, what is so hard to understand in that?
It is a bizarre really! They always dwell on their fear which corrodes their minds, unfortunately it is a massive thought!
 
Kwa mlio na access,
Watch TBC sasa, Waziri wa Sheria na Katiba, Mhe. Selina Kombani yuko live hewani, akiutetea Muswada wa Kuunda Tume ya Kukusanya Maoni ya katiba mpya!.

Ameutetea kwa nguvu zake zote huo muswada jinsi ulivyo, ila pia amekubali, kuyapokeo maoni na mapendekezo yote yanayotolewa, ndio maana wametoa nafasi kwa wananchi kutoa maoni.

Update:
Wanabodi,

Leo ndio mara yangu ya kwanza kumuona Waziri wetu wa Sheria, Mhe. Selina Kombani akihojiwa live kwenye kipindi cha Jambo, kinachorushwa na TBC-1 asubuhi hii.

Alipokuwa akitetea mamlaka kubwa za rais kwenye utungaji wa katiba, Mhe. Kombani amesema, Tangu kutungwa kwa katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, Tanzania tumekuwa na katiba nyingine zaidi ya 5 ambazo zote process ndio hiyo hiyo kwa rais kuwa na mamlaka kubwa hivyo na zote zimesainiwa na rais, kitu ambacho sio kweli!.

Mhe. Kombani wakati akizungumzia katiba hizo tano, alimaanisha marekebisho zaidi ya matano ya katiba, yaliyofanywa kwenye katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, na sio katiba tano kama alivyoeleza Mhe. Waziri.

Usahihi ni kuwa Ile katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ndio hiyo hiyo katiba iliyopo mpaka sasa, licha ya kufanyiwa marekebisho zaidi ya mara 5!. Marekebisho hayo hayabadilishi katiba na kuwa na katiba tano, katiba inabaki ni ile ile moja ya Mwaka 1977!.

Mhe. Kombani, hakuishia hapo, katika utetezi wake kwa mamlaka ya rais pale aliposema, katiba hizo zote 5!, zimesainiwa na rais, kitu ambacho pia sio kweli!. Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ilitokana na Bunge la Katiba 'Constituent Assembly' (Japo ni Bunge lile lile la chama kimoja lilijigeuza), ambalo ndilo liliipitisha katiba. Katiba ikishapitishwa na Bunge la Katiba, haisainiwi na rais, rais mwenyewe, anapata mamlaka toka kwenye katiba hiyo, ila kinachosainiwa na rais, ni yale marekebisho ya katiba!.

Hivyo mpaka ninapoandika hapa, Waziri wetu wa Sheria, anaamini yuko right kabisa kutoa mamlaka kubwa zile kwa rais katika marekebisho ya katiba, kwa vile anaamini kinachofanyika sasa, ni marekebisho mengine ya katiba ile ile ya Tanzania ya Mwaka 1977 na sio process ya Uundwaji wa katiba mpya!.

Waziri wa Sheria, anajua kuwa ni rais ndiye ameisaini Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, kitu ambacho sio kweli!.

Japo sio kosa kubwa kwa mtu wa kawaida kuyaita marekebisho ya katiba kuwa ni katiba nyingine, lakini kwa Waziri wa Sheria, Live kwenye TV ya Taifa, kusema Tumekuwa na katiba 5 baada ya Katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977, ni uthibitisho kuwa tunaye Waziri wa Sheria Asiyejua Katiba!.

Wasalaam.

Pasco.
Leo nimeikumbuka thread hii kufuatia majibu ya Mhe. Kombani akijibu swali la mwandishi wa gazeti la Mwananchi kufafanua kauli ya Jaji Mkuu kuwa serikali ya Tanzania inaingilia uhuru wa mahakama!.
 
Back
Top Bottom