Iza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 2,026
- 612
mkuu... hivi ccm wanafanya makusudi au ni nini...? hivi hakuna mtu mwingine anayeweza kuwakilisha ccm katika masuala muhimu ya taifa pasipo Tambwe Hiza .... huu ni mzaha na dharau katika kuleta maendeleo ya nchi yetu
Hawajali kitu na ni dharau kubwa waliyonayo kwa watanzania ndo maana hawaoni umuhimu wa kuleta mtu makini,hatahivyo hao 'watu makini' ndio haohao walitengeneza huo muswada unapasua vichwa sasa..