Magembe R. Malima
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 233
- 214
kama ndani ya hakuna kitu kuna "hakuna kitu" it means its an infinity process ,now where did this process of no end came from?
...ndipo dhana ya uwepo wa....... inapokuja.
kama ndani ya hakuna kitu kuna "hakuna kitu" it means its an infinity process ,now where did this process of no end came from?
Mnafurahisha sana nyie...
...ndipo dhana ya uwepo wa....... inapokuja.
Kwa kuwa tumeambiwa before the universe time and space didn't exist basi tunaamini hivyo na akili yetu inakubali. Lakini tufikili kwa pamoja, kile kilichoitwa singularity kilikuwa wapi?(nje au ndani ya nini?)
Mtu anauliza kama chenye uwezo wote kinaweza kutengeneza kisichoweza kubeba....
Hajui tu kuwa anaposema "chenye uwezo wote" anakuwa ameshamaliza kila kitu labda tu awe hajui "uwezo wote" maana yake nini....
Unakuwa unajipinga mwenyewe maana "uwezo wote" na "kutengeneza asichokiweza" mwente uwezo wote ni kujipinga mwenyewe...
Huwezi kuwa na na vyote viwili kwa wakati mmoja lazima kimoja kisiwepo...
Mtu anauliza kama chenye uwezo wote kinaweza kutengeneza kisichoweza kubeba....
Hajui tu kuwa anaposema "chenye uwezo wote" anakuwa ameshamaliza kila kitu labda tu awe hajui "uwezo wote" maana yake nini....
Unakuwa unajipinga mwenyewe maana "uwezo wote" na "kutengeneza asichokiweza" mwente uwezo wote ni kujipinga mwenyewe...
Huwezi kuwa na na vyote viwili kwa wakati mmoja lazima kimoja kisiwepo...
sikiliza;unaposema yupo muweza wa kila kitu basi automatically hakuna kitu kisichowezekana sawasawa?..sasa ngoja nikuulize swali,"je huyu mungu wako ambaye ni muweza wa kila kitu,anaweza kuumba kiumbe kikubwa na chenye nguvu zaidi yake?...nasubiri jibu lako mkuu!
sikiliza;unaposema yupo muweza wa kila kitu basi automatically hakuna kitu kisichowezekana sawasawa?..sasa ngoja nikuulize swali,"je huyu mungu wako ambaye ni muweza wa kila kitu,anaweza kuumba kiumbe kikubwa na chenye nguvu zaidi yake?...nasubiri jibu lako mkuu!
Abuu umeyajuaje haya ama unahisi kulingana na ubongo unavyokutuma?Eiyer kakujibu vizuri sana uwezo wa Mungu hauna kikomo kwa hiyo hawezi kutengeneza kitu ambacho kitamzidi yeye 'HANA KIKOMO'
Mnafurahisha sana nyie...
sikiliza;unaposema yupo muweza wa kila kitu basi automatically hakuna kitu kisichowezekana sawasawa?..sasa ngoja nikuulize swali,"je huyu mungu wako ambaye ni muweza wa kila kitu,anaweza kuumba kiumbe kikubwa na chenye nguvu zaidi yake?...nasubiri jibu lako mkuu!
Eiyer kakujibu vizuri sana uwezo wa Mungu hauna kikomo kwa hiyo hawezi kutengeneza kitu ambacho kitamzidi yeye 'HANA KIKOMO'
Young man Your logic have no capacity to define Gods power .chairman nafikiri hujanielewa hatuwezi kuwa na "unstopable force" na wakati huohuo tukawa na "unmovable material"..huwezi kuwa na mungu anayeweza kila kitu na wakati huohuo kukawa na kitu ambacho hakiwezekani,laws of logic haziruhusu jambo hili,huwezi kujivunia mungu anayeweza kila kitu na wakati huohuo unakubali kuwa kuna vitu haviwezi!
Unarefusha uzi bila sababu za msingi.
Ngoja nijaribu kukujibu utakavyo wewe.
Mungu hawezi kuumba Kitu chochote kinachozidi uwezo wake.
Kila alicho kiumba na anachoumba kiko chini ya Uwezo wake.
Una swali lingine.
Tafadhali Uliza swali kwa lengo. Sio kuuliza maswali basi Uzi uwe mrefu tu. Kisha uwaambie Rafiki zako kwenye twitter or Facebook "yoh check out my thread its on 500 pages so far and I'm going to make sure i hit 1000 before Christmas "
Wapi nime admit kuwa Mungu wangu hana uwezo wote.mkuu,kitu kinachorefusha huu uzi ni maswali yanayojirudia mfano hili,ambalo kwenye post za nyuma nimeshalitolea ufafanuzi,lakini mtu haanzi mwanzo wa thread,bali anakurupuka kuuliza swali lilelile,..anyway, you just admitted that your God's power has limit,and this is best conclusion for our debate!