Omnipotence paradox na ukomo wa nguvu za Mungu

na jibu ni akakadabra ,yani miujiza na hapo ndo nasema chochote ambacho mimi sikijui ambacho kimeweza kutengeneza au kufanya hiyo unknown mechanism i term it a name GOD Ili iwe na sense

Kweli kabisa hapo uwepo wa Mungu ndipo unapoonekana
 
na jibu ni akakadabra ,yani miujiza na hapo ndo nasema chochote ambacho mimi sikijui ambacho kimeweza kutengeneza au kufanya hiyo unknown mechanism i term it a name GOD Ili iwe na sense

Na ndipo napovutwa kelekea kuamini kuna mungu/Mungu.. kwa kuwa Omnipotence Paradox ni ishara tu ya limitation au weakness ya binadamu katika kuelewa utata wa mambo tata. To me infiniteness na finiteness kama existence ya existence ni beyond human comprehensional abilities.
 
Na ndipo napovutwa kelekea kuamini kuna mungu/Mungu.. kwa kuwa Omnipotence Paradox ni ishara tu ya limitation au weakness ya binadamu katika kuelewa utata wa mambo tata. To me infiniteness na finiteness kama existence ya existence ni beyond human comprehensional abilities.

exactly ndo maana nikamwambie huko nyuma wengine tumemaliza science now tupo upande wa pili tunadeal na verses,na ambacho kipo ndani ya maandiko its beyond science and make sense,nikasema when GOD said may there be light ndo ile point ya hot na dense ilipo explore nakuanza kuexpand,kuna mtu amesema bible is a science journal which tangu i was a kid i had an automatic feeling from unknown source to believe it is na ni kweli either wakatae au lah GOD EXISTS
 
Kweli kabisa hapo uwepo wa Mungu ndipo unapoonekana

ISAAC NEWTON spend half of his life cracking and finding the secrets of nature through bible codes kama mtu anabisha atafute historia yake scientists wameshajua kitambo hawa cramers wajuzi ndo wamelishwa bendera ya ubishi wasiojua wanatetea kitu gani
 
Inawezekana hapa ndipo kwenye utata;"hewa ime occupy space,lakini ukiiondoa hewa bila shaka utabaki na space,je space ni nini?..ngoja nijibu kwa kifupi tu,kulingana na uelewa nilionao wa "quantum physics" ni makosa kusema kuwa "space" ni "tupu",kulingana na fizikia ya kwanta,space imebeba idadi kumbwa ya mionzi(virtual EMW)ambayo hutokea na kutoweka kwa mda mfupi(pop into and out of existence)mfano mzuri wa kuelewa nini nakimaanisha ni huu;space ni kama bakuli lilojaa maji yenye mapovu,mapovu ni mfano wa mionzi ninayoizungumzia,ukiyaangalia hayo mapovu kwa makini,utaona kuwa kuna baadhi ya mapovu yanatokea na kutoweka ndani ya mda mfupi.njia rahisi ya kudetect mionzi hii ni kwa kutumia vioo viwili vinavyo tazamana(hii ni casmir effect experiment)ambayo unaweza kuifanya ukiwa nyumbani!
 
I think this will be very difficult to visualize especially for laymen like you,but the fact is this,"THE UNIVERSE IN FINITE AND YET UNBOUNDED"...you can ask why my little boy!

Nakuonya acha dharau na kuita watu usiowajua ma-layman. Swali uliloulizwa la components za universe kuwa finite/infinite hujalijibu lakini bado hujajibu pia kama nje ya components za universe/multiuniverse kuna nini?
 
Nakuonya acha dharau na kuita watu usiowajua ma-layman. Swali uliloulizwa la components za universe kuwa finite/infinite hujalijibu lakini bado hujajibu pia kama nje ya components za universe/multiuniverse kuna nini?

mbona swali nimeshalijibu mkuu,tatizo lenu kubwa ni hili;nyie ni wagumu kuelewa sijui ni kwasababu ya elimu mliyokuwa nayo au imani yenu..sikia mkuu tiger,hakuna kitu ambacho kipo nje ya ulimwengu,kwahiyo mtu anapokwambia nini kipo nje ya ulimwengu?,ni sawa na kukuuliza hivi;"wewe "upo" umbali gani kutoka "ulipo"?,hivi swali kama hili linaingia akilini kweli?..you are zero distance from yourself and you can't run away from yourself also...thus why i said the universe is finite and unbounded at the same time because nothing is outside!
 
hope you gat a mentalcrash mr.old half minded naongelea SPACE sio UNIVERSE ,space ndo inahold universe ,universe ndo ipo finite ila inaexpand within space,my question is if space has finite level or distance or is finite what the end of of space or what blocks it to be finite usijitoe ufahamu na sayansi za kukariri badala ya kuelewa

Swali lako liko very clear, na mimi pia nasubiri jibu.
 
ISAAC NEWTON spend half of his life cracking and finding the secrets of nature through bible codes kama mtu anabisha atafute historia yake scientists wameshajua kitambo hawa cramers wajuzi ndo wamelishwa bendera ya ubishi wasiojua wanatetea kitu gani

tumia akili basi mkuu,usichanganye science na personal interest au hobby ya mtu...labda nikupe sababu iliyowafanya wanasayansi wengi wa wakati huo(wa isaac newton)kuifata biblia;wakati huo wa roman empire dini haswa ya kikristo iliheshimiwa sana na biblia kilikuwa kitabu kisichotakiwa kukoselewa japo kuwa kilikuwa na makosa chungu nzima,unyenyekevu huu haukutokana na imani waliokuwa nayo bali ilitokana na vitisho vya kanisa la Roma,sasa usishangae kusikia kuwa Isaac newton alitumia biblia kuprove nadharia zake,sababu ilikuwa moja;kama asingefanya hivyo na akaikosoa biblia basi yangemkuta kama yaliyo mkuta Galileo!..amri ilikuwa ni moja tu "if your theory doens't fit the bible just change your theory"
 
Inawezekana hapa ndipo kwenye utata;"hewa ime occupy space,lakini ukiiondoa hewa bila shaka utabaki na space,je space ni nini?..ngoja nijibu kwa kifupi tu,kulingana na uelewa nilionao wa "quantum physics" ni makosa kusema kuwa "space" ni "tupu",kulingana na fizikia ya kwanta,space imebeba idadi kumbwa ya mionzi(virtual EMW)ambayo hutokea na kutoweka kwa mda mfupi(pop into and out of existence)mfano mzuri wa kuelewa nini nakimaanisha ni huu;space ni kama bakuli lilojaa maji yenye mapovu,mapovu ni mfano wa mionzi ninayoizungumzia,ukiyaangalia hayo mapovu kwa makini,utaona kuwa kuna baadhi ya mapovu yanatokea na kutoweka ndani ya mda mfupi.njia rahisi ya kudetect mionzi hii ni kwa kutumia vioo viwili vinavyo tazamana(hii ni casmir effect experiment)ambayo unaweza kuifanya ukiwa nyumbani!

ukitoa hiyo bakuli kuna nini?
 
mbona swali nimeshalijibu mkuu,tatizo lenu kubwa ni hili;nyie ni wagumu kuelewa sijui ni kwasababu ya elimu mliyokuwa nayo au imani yenu..sikia mkuu tiger,hakuna kitu ambacho kipo nje ya ulimwengu,kwahiyo mtu anapokwambia nini kipo nje ya ulimwengu?,ni sawa na kukuuliza hivi;"wewe "upo" umbali gani kutoka "ulipo"?,hivi swali kama hili linaingia akilini kweli?..you are zero distance from yourself and you can't run away from yourself also...thus why i said the universe is finite and unbounded at the same time because nothing is outside!

there is something outside which is NOTHING,my question is what is NOTHING?
 
na jibu ni akakadabra ,yani miujiza na hapo ndo nasema chochote ambacho mimi sikijui ambacho kimeweza kutengeneza au kufanya hiyo unknown mechanism i term it a name GOD Ili iwe na sense

I understand yourconcern sir.
Tatizo ni kuwa, where did that thing called God came from. Utajikuta unarudi square one tena.
 
I understand yourconcern sir.
Tatizo ni kuwa, where did that thing called God came from. Utajikuta unarudi square one tena.

Young man you need to read the thread from beginning.
Don't try to board the fast moving train. You might loose your front teeth. Lol
 
there is something outside which is NOTHING,my question is what is NOTHING?

listein,my good friend REALITY,you seem as very wise guy..but let me tell you this,science doens't explain nothing,because nothing doesnot exist at all,contrary to science,RELIGION can explain what you want from me,because religion believe in imaginary entity and things that do not actually exist like NOTHING and GOD
 
I understand yourconcern sir.
Tatizo ni kuwa, where did that thing called God came from. Utajikuta unarudi square one tena.

it has no source its the source ,it causes not caused,its only the cause have your answer
 
listein,my good friend REALITY,you seem as very wise guy..but let me tell you this,science doens't explain nothing,because nothing doesnot exist at all,contrary to science,RELIGION can explain what you want from me,because religion believe in imaginary entity and things that do not actually exist like NOTHING and GOD

anything present in imagination exists because its a product from what exists
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom