Mijitu kama hii inayolia ndo inatufanya tuendelee kupata mateso hadi leo....mijinga kweli na Ilaaniwe.... Kama kuna mtu anaweza kutupatia majina yao kamiili ili tuyafanyie kazi itakuwa bora... Umaskini wetu wote ni hawa wajinga.... Mlaaniwe
Njaa mbaya sana. Hasa njaa isiyo na macho, Hapo wanalilia visenti walivyokuwa wakipewa kipindi cha uchaguzi, hawafikirii taifa linapoteza nini na kwa kipindi kirefu kiasi gani. Nasikia hasira sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.