Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,429
Inashangaza kuona kwamba Nd. Omega Ngolle anasema kwamba ofisi ya DPP haioni sababu ya kuwataja wahusika katika Kampuni ya Kagoda Agr. Ltd.
Hili ni jambo ambalo linawakatisha tamaa wananchi kwamba haki itatendeka. Bado wanachi wanaombwa kuwa na subira,ili majalada yatazamwe. Hayo majalada yanasomwa mpaka lini. Wananchi wameonyesha subira kubwa sana. Tokea Waziri Mkuu,Mizengo Kayanza Peter Pinda alipoanza kazi,aliwaambia wawe na subira. Mpaka leo unawaambia wawe na subira. Kwa kufanya hivi,wanataka watu wafikirie kwamba wamiliki wa Kampuni ya Kagoda ni wa maana sana kiasi kwamba hawawezi hata kutajwa. Kama amri imetoka kuwakamata hao watu,DPP lazima awakamate na kuwapeleka Mahakamaini ,aendelee kwa kasi kubwa kufanya kazi yake,mpaka hiyo amri itakapobadilishwa. Asitafakari amri. Kama amri haijabadilika,aendelee na utekelezaji.
Hili ni jambo ambalo linawakatisha tamaa wananchi kwamba haki itatendeka. Bado wanachi wanaombwa kuwa na subira,ili majalada yatazamwe. Hayo majalada yanasomwa mpaka lini. Wananchi wameonyesha subira kubwa sana. Tokea Waziri Mkuu,Mizengo Kayanza Peter Pinda alipoanza kazi,aliwaambia wawe na subira. Mpaka leo unawaambia wawe na subira. Kwa kufanya hivi,wanataka watu wafikirie kwamba wamiliki wa Kampuni ya Kagoda ni wa maana sana kiasi kwamba hawawezi hata kutajwa. Kama amri imetoka kuwakamata hao watu,DPP lazima awakamate na kuwapeleka Mahakamaini ,aendelee kwa kasi kubwa kufanya kazi yake,mpaka hiyo amri itakapobadilishwa. Asitafakari amri. Kama amri haijabadilika,aendelee na utekelezaji.