20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 7,969
- 6,755
Sura haijakamlik bado..Mimi navunja mwiko
Ila unaonekana ni msupuuuu lainiiii.....hot huh
Sura haijakamlik bado..Mimi navunja mwiko
Mimi navunja mwiko
Ni wwe kweli? Ni pm namba yako nifanye uchunguzi wanguMimi navunja mwiko
Labda le akil kubwaz le mutuz!Inawezekana kabisa.
Kuna siku nilikuwa Boogie Woogie nimekaa kwa nje halafu kwa ndani alikuwa kakaa mdingi mmoja hivi. na tablet yake.
Mimi nilikuwa nipo nasoma JF kwenye iPad yangu naye alikuwa anasoma JF kwenye kifaa chake.
Nikajaribu kula chabo kuona ni nani lakini sikufanikiwa. Alikuwa mjanja kweli.
Nikabaki na maswali tu sijui atakuwa nani huyo!
Mimi navunja mwiko
Labda le akil kubwaz le mutuz!
!
!
Pole kwa zile picha zako za juzi... Baadae nilisikia umejiua eti kweli?
Lool...Mimi navunja mwiko
Mwasi kitoko-cherie bienMimi navunja mwiko
Huo mwiko hujauvunja kikamilifu Beauty EvaMimi navunja mwiko
Niko hapa nasubiri uonyeshe chura,Mimi navunja mwiko
Nakuona sura mbuzi..tabasamu la ng'ombe. AhaahaWa kwanza kulia
Na ww nikuoneNakuona sura mbuzi..tabasamu la ng'ombe. Ahaaha
Preta wa PacoTungetaka hivyo........tungesajili kwa majina yetu halisi.........
Tulia......