Refer post no.2 Mkuu. Si lazima kila mtu yupo ulipo wewe au unapofikiria wewe kuwa yupo hapo.
Una uhakika gani kuwa mimi sikeshi?
Anyway sioni sababu ya kubishania hilo kwani kukesha kwangu si kwa sababu/namna unayofikiria/unayotaka wewe.
Mkuu Sikonge
Hii avatar yako hatari sana! hahahahahah
Mhhhh, hawa akina Ivuga na Computer ni hatari tupu:
Nimuonavyo kijana mtukutu ivuga yuko majuu na nafikiri alienda kwa msaada wa FMES kwa lile deal la majuu.....so nasikia majuu mahela kibao dogo anachajisha kiti heater kwa kudonoa kiiibodi kujibu hoja za goi goi kama Nnauye...
bwa h ah ah ah ah aha!!!!!!!!! @new york cityNimuonavyo kijana mtukutu ivuga yuko majuu na nafikiri alienda kwa msaada wa FMES kwa lile deal la majuu.....so nasikia majuu mahela kibao dogo anachajisha kiti heater kwa kudonoa kiiibodi kujibu hoja za goi goi kama Nnauye...
Mi hii ya @ New York City huniachaga hoi hahaha! hata ukiwa Tandale au Tunduma kama mchango wako una uzito tutauthamini tu lol!huko wapi mimi ni wa hapa hapa , huko ni kwa kina
@new york city , sio watu kama sisi
Dogo hii namba ilikuwa ya small hausi akadai simu imepotea kumbe alikupa wewe ?bwa h ah ah ah ah aha!!!!!!!!! @new york city
yoyo umenichekesha sana !! ule msaada wa FMES hivi kuna mtu alifaidika nao kweli?
mimi ni wa hapahapa na number yangu ni hii hapa piga usiku tu
0732210678*
Mimi huchgungulia huchungulia ila ukifatlia kuna nyakati huwa nakuwa sipo hewani ...1
Mi hii ya @ New York City huniachaga hoi hahaha! hata ukiwa Tandale au Tunduma kama mchango wako una uzito tutauthamini tu lol!
ukitoka hapo unaweza malizia na hii[URL="http://www.google.co.nz/imgres?imgurl=http://www.cokeunleashed.com.au/Coke_Unleashed/313x345%2520v2.jpg&imgrefurl=http://www.cokeunleashed.com.au/prizePartner.jsp%3Fpartner%3D18&usg=__nuH99sgxWg9nheu75bF60Ox_W1Q=&h=345&w=313&sz=134&hl=en&start=189&zoom=1&tbnid=czCfd2kmQCTERM:&tbnh=140&tbnw=126&ei=KWLaTYb_K4W0sAOH3umODA&prev=/search%3Fq%3DNandos%2Bwings%26hl%3Den%26client%3Dfirefox-a%26rls%3Dorg.mozilla:en-USfficial%26gbv%3D2%26biw%3D1237%26bih%3D630%26tbm%3Disch&itbs=1&iact=hc&vpx=982&vpy=175&dur=1967&hovh=236&hovw=214&tx=151&ty=171&sqi=2&page=12&ndsp=18&ved=1t:429,r:11,s:189"] [/URL]Natamani chicken wings
ni marufuku kubishana na mchungaji humu jamvini labda kama umetumwa
mkuu uporoto01 hapo unataka kunipa kesi na lawama zote inabidi zimwendee rev! hahahahhaDogo hii namba ilikuwa ya small hausi akadai simu imepotea kumbe alikupa wewe ?