Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Wana JF
Kuna mtu ambaye kwenye archive yake ana makala walizowahi kuandika akina Salva Rweyemamu na Prince Mahinja Bagenda katika gazeti la Rai (ya Ulimwengu) kabla hawajarudi kwao CCM?
Napenda somo la Historia.
Kuna mtu ambaye kwenye archive yake ana makala walizowahi kuandika akina Salva Rweyemamu na Prince Mahinja Bagenda katika gazeti la Rai (ya Ulimwengu) kabla hawajarudi kwao CCM?
Napenda somo la Historia.