Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani EWURA na TANESCO ni watu wapumbavu ambao hawajui hata sentiments za wananchi. Wanaingia mikataba ya kishenzi na wanataka watanzania walipie ushenzi wao!
Nimesikia kupitia kituo kimoja cha Radio kwamba TANESCO wamepeleka ombi EWURA kuomba waruhusiwe kupandisha bei ya units za umeme kwa 150%.Endapo watakubaliwa,basi bei ya umeme itapanda kutoka sh.60/unit~sh.153/unit kuanzia january mwakani.
Anyway,mi nimesikia tu radioni,sema wao huwa wanatoa mchanganuo wa rate zao.Huwa zinatofautishwa kuanzia matumizi ya kawaida ya nyumbani,kibiashara na yale ya viwanda vikubwa.mkuu unt kwasasa ni 180 TSH. hilo ongezeko litafanya iwe kama 460 hivi ........
check karatas ya luku......
TUNAVUKA VILELE
We unafikiri watailipaje Dowans?tuvumilie tu Dowans wakilipwa bei itarudi pale pale.Duh Kama nikuhama nchi wakati ndio huu jamani!juzi tu wameongeza kwa wale wanaotumia zaidi ya unit 50 kwa mwezi tena Leo wanataka nyongeza?mm namshauri Mheshiwa Mhando kwanza asafishe wafanyakazi wake wengi wanahujumu shirika na majina tunayo Kama anataka tutampa then ndio atwangalie sisi walalahoi Kama anaweza kutupunguzia huu mzigo wa umeme Ili wengi tuunganishe.