Ombi la kuongeza ukubwa wa eez

LE GAGNANT

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
1,241
251
KULNGANA NA GAZETI LA HABARILEO LA TAREHE 19 JAN 2011, TANZANIA imewasilisha ombi katika Umoja wa Mataifa (UN), kudai eneo la nyongeza lenye ukubwa wa maili 150 nje ya eneo la sasa la maili 200 za Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari. http://www.habarileo.co.tz/kitaifa/?n=25789

KULINGANA NA United Nations Convention on the Law of the Sea(UNCLOS).

Article 57
Breadth of the exclusive economic zone
The exclusive economic zone shall not extend beyond 200 nautical miles
from the baselines from which the breadth of the territorial sea is measured.


MY TAKE, TANZANIA IMESHINDWA KU-UTILIZE ENEO LA SASA, KWANI NI IDADI KUBWA SANA YA SAMAKI NA MAZAO YA BAHARI HUVUNWA NA WAGENI KWA KUTUMIA VYOMBO VYA KISASA VINAVYOTUMIA TEKNOLOJIA YA JUU BILA NCHI KUJUA. SASA KUONGEZA ENEO HILO LA Exclusive economic zone(EEZ) NI KWA MANUFAA YA NANI? KWA MAANA TANZANIA HAINA UWEZO HATA KIDOGO WA KULINDA RASILIMALI ZAKE KWENYE ENEO HILO KWA UKUBWA WA SASA.

IKUMBUKWE SAMAKI WA MAGUFULI WALIKAMATWA KWA MSAADA MKUBWA WA MELI YA SOUTH AFRICA, BAADA YA KUFANYA SURVEILLANCE NA KUWAGUNDUA WALE WAVUVI HARAMU.
 
KULNGANA NA GAZETI LA HABARILEO LA TAREHE 19 JAN 2011, TANZANIA imewasilisha ombi katika Umoja wa Mataifa (UN), kudai eneo la nyongeza lenye ukubwa wa maili 150 nje ya eneo la sasa la maili 200 za Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari. http://www.habarileo.co.tz/kitaifa/?n=25789

KULINGANA NA United Nations Convention on the Law of the Sea(UNCLOS).

Article 57
Breadth of the exclusive economic zone
The exclusive economic zone shall not extend beyond 200 nautical miles
from the baselines from which the breadth of the territorial sea is measured.


MY TAKE, TANZANIA IMESHINDWA KU-UTILIZE ENEO LA SASA, KWANI NI IDADI KUBWA SANA YA SAMAKI NA MAZAO YA BAHARI HUVUNWA NA WAGENI KWA KUTUMIA VYOMBO VYA KISASA VINAVYOTUMIA TEKNOLOJIA YA JUU BILA NCHI KUJUA. SASA KUONGEZA ENEO HILO LA Exclusive economic zone(EEZ) NI KWA MANUFAA YA NANI? KWA MAANA TANZANIA HAINA UWEZO HATA KIDOGO WA KULINDA RASILIMALI ZAKE KWENYE ENEO HILO KWA UKUBWA WA SASA.

IKUMBUKWE SAMAKI WA MAGUFULI WALIKAMATWA KWA MSAADA MKUBWA WA MELI YA SOUTH AFRICA, BAADA YA KUFANYA SURVEILLANCE NA KUWAGUNDUA WALE WAVUVI HARAMU.

mkuu hayo ni mambo ya us kaka na sio tz
 
mkuu hayo ni mambo ya us kaka na sio tz

EEZ INAHUSU KILA NCHI INAYOPAKANA NA BAHARI:

Being a coastal country, in 1989, Tanzania established her exclusive economic zone . The northernmost boundary of the Tanzanian EEZ is at 4.66°S, the easternmost point on the eastern boundary is at 43.67°E and the southernmost point on the southern boundary is at 10.41°S. The EEZ provides Tanzania with extra and exclusive opportunity to access resources and services from its marine and coastal environment, such as marine transportation, fisheries, tourism, marine mineral deposits, and others. In particular, due to its appreciably longer coastline, there are many small and several large islands, Tanzania has conducive equatorial tropical climate,and it is potentially rich in coastal and marine resources.
SOURCE: D.C.P. Masalu
Institute of Marine Sciences, University of Dar es Salaam


SUALA NI KUWA ENEO HILO LA EEZ LIKIONGEZWA TANZANIA INAO UWEZO WA KULIDHIBITI?
ISIJE KUWA NI KUWAONGEZEA WAGENI WENYE UWEZO WA KUTUMIA VYOMBO VYENYE TEKINOLOJIA YA JUU KUJIPATIA ULAJI BILA KIKWAZO.

 
Back
Top Bottom